Inonga atemwa rasmi FAR Rabat

Klabu ya FAR Rabat imemalizana na beki wake Henock Inonga ‘Varane’ baada ya msimu mmoja ndani ya timu hiyo. Inonga aliyetambulishwa ndani ya FAR Rabat Julai 13, 2024, amesitishiwa mkataba, kutokana na ripoti ya kocha Mreno Alexander Santos. Beki huyo wa zamani wa Simba, hakuwa na maisha mazuri ndani ya timu hiyo, akianza kwenye mechi…

Read More

Mashujaa, JKT Tanzania kwenye rada za kinda la Yanga

TIMU mbili za Jeshi, JKT Tanzania na Mashujaa zinamfuatilia kwa ukaribu kinda wa Yanga, Isack Mtengwa na kama mambo yakienda sawa huenda akaibukia kwenye timu mojawapo. Msimu uliopita nyota huyo aliichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Yanga U-20 akiungana na beki mwenzie Shaibu Mtita. Mmoja wa watu wa karibu wa…

Read More

Inonga atemwa rasmi Arabuni | Mwanaspoti

Klabu ya FAR Rabat imemalizana na beki wake Henock Inonga ‘Varane’ baada ya msimu mmoja ndani ya timu hiyo. Inonga aliyetambulishwa ndani ya FAR Rabat Julai 13, 2024, amesitishiwa mkataba, kutokana na ripoti ya kocha Mreno Alexander Santos. Beki huyo wa zamani wa Simba, hakuwa na maisha mazuri ndani ya timu hiyo, akianza kwenye mechi…

Read More

BDL iko juu zaidi ya ligi ya Congo

Nyota wa Savio, Ntibonela Bukeng amekiri Ligi ya mpira wa Kikapu Dar es Salaam (BDL), iko juu zaidi ya ligi ya DR Congo. Bukeng aliliambia Mwanaspoti ubora huo umetokana na ushindani mkubwa unaoonyeshwa na timu zote shiriki. Bukenge ambaye ni raia wa Congo, alitoa ushauri kwa chama cha mchezo huo Dar es Salaam (BD), kuendelea…

Read More

Dodoma Jiji kukaa mezani na Abdi Banda

UONGOZI wa Dodoma Jiji, unaendelea na maboresho ya kikosi na umeanza mchakato wa kuongeza mikataba mipya kwa wachezaji waliomaliza, ikianza na beki wa kati wa timu hiyo, Mtanzania Abdi Banda. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho Januari 15, 2025, akitokea Baroka FC ya Afrika Kusini, alisaini mkataba wa miezi sita na sasa umemalizika rasmi, hivyo…

Read More

Kipa Simba aibukia Mashujaa | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumpa mkono wa kwaheri kipa Gelwa Yona, inaelezwa Mashujaa Queens ipo kwenye hatua nzuri ya kumalizana naye. Gelwa alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 akitokea Ruvuma Queens na misimu miwili ya mwanzoni alionyesha kiwango bora. Hata hivyo, baada ya kuongezwa kwa kipa Carolyne Rufaa, Gelwa aliishia kukaa benchi. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Simba, Azam zachemka kwa Maxi, ishu nzima ipo hivi

KAMA kuna kitu ambacho mashabiki wa Yanga wanapaswa kukifurahia, basi ni uamuzi uliotolewa juu ya nyota wao, Maxi Nzengeli ambaye amekuwa akifukuziwa na wapinzani wao, Simba na Azam. Ipo hivi; kuna kauli ambayo vigogo wa Maniema ya DR Congo wamewaambia viongozi wa klabu hizo kimyakimya siku chache zilizopita ambayo haijawafurahisha. …

Read More