Nidhamu ilimbeba Nyamoko Taifa Cup

KAMISHINA wa ufundi na mashindano wa shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF), Daniel Patrick amesema nidhamu ndiyo iliyombeba Miyasi Nyamoko achaguliwe kuwa kocha bora. Patrick alisema hayo baada ya lawama za baadhi ya makocha, Nyamoko hakustaili kuwa kocha bora kutokana na timu yake kushika nafasi ya pili. Alisema uteuzi wa kocha bora, uliangaliwa na…

Read More

Utata Sh87 bilioni za mwekezaji Simba

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ usiku wa Julai 14, 2025, alitumia muda huo kuzungumza na Wanasimba na wapenda soka kwa jumla huku akitaja mambo mbalimbali yanayoendelea ndani ya klabu hiyo ikiwemo suala la uwekezaji wake. Mo ambaye hii ni mara ya pili anafanya hivyo katika akaunti…

Read More

Rostam Aziz asimulia mageuzi ya tasnia ya habari Tanzania yalivyoanza

Arusha. Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesimulia safari ya tasnia ya habari nchini Tanzania jinsi alivyoshirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali kuifanya kukua na kuimarika zaidi. Rostam ametoa simulizi hiyo leo Jumanne, Julai 15, 2025 katikaMkutano wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika unaofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na kufunguliwa…

Read More

Fountain Gate yajipanga upya | Mwanaspoti

BAADA ya Fountain Gate kuponea chupuchupu kushuka daraja, Rais wa klabu hiyo, Japhet Makau amesema msimu ujao wapinzani wao wajipange kwani wanakwenda kufanya mapinduzi mazito. Msimu wa 2024-2025, Fountain Gate ilicheza mechi za mtoano kuwania kubaki Ligi Kuu baada ya kumaliza nafasi ya 14 ikiwa na pointi 29. Katika mechi hizo, ilianza kupoteza kwa jumla…

Read More

Chalamanda, JKT Tanzania kimeeleweka | Mwanaspoti

TAARIFA zinabainisha kuwa, JKT Tanzania imefanikiwa kunasa saini ya kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kwa kumpatia kandarasi ya miaka miwili. Kagera ambayo haikuwa na msimu mzuri 2024-2025, imeshuka daraja baada ya kumaliza nafasi ya 15, matokeo yaliyoipeleka kikosi hicho kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao. Chalamanda ambaye alikuwa kipa namba moja kikosini hapo, ni…

Read More

Chalamanda, JKT kimeeleweka | Mwanaspoti

TAARIFA zinabainisha kuwa, JKT Tanzania imefanikiwa kunasa saini ya kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kwa kumpatia kandarasi ya miaka miwili. Kagera ambayo haikuwa na msimu mzuri 2024-2025, imeshuka daraja baada ya kumaliza nafasi ya 15, matokeo yaliyoipeleka kikosi hicho kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao. Chalamanda ambaye alikuwa kipa namba moja kikosini hapo, ni…

Read More

Gamondi ashikilia hatma ya Adebayor

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi inaelezwa kushikilia hatma ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Niger, Victorien Adebayor, ambaye msimu uliopita hakuonyesha makali zaidi katika kikosi hicho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani ambazo Mwanaspoti ilizipata, Gamondi ambaye anatajwa kuwa mbioni kutua nchini kuanza maandalizi ya msimu ujao, amepewa mamlaka kamili ya kufanya…

Read More

Stein, Tausi zafanya kweli BDL

STEIN Warriors na Tausi Royals zimeonyesha makali katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam kwa kuibuka na ushindi katika michezo yao kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga, jijini Dar es Salaam. Katika mchezo wa kwanza, Stein iliyopanda daraja mwaka huu, iliichapa DB Oratory kwa pointi 57-47, na kuonyesha kuongeza kiwango kadiri ligi inavyoendelea, huku Kocha wa…

Read More

Wiliam Edgar hajatimiza malengo | Mwanaspoti

NYOTA wa Fountain Gate, Wiliam Edgar amesema pamoja na kufanikiwa kuibakisha timu Ligi Kuu, lakini malengo yake hayakutimia akitoa matumaini yake msimu ujao. Edgar ambaye alikuwa na kiwango bora kikosini hapo akitupia mabao sita, anakumbukwa kwa historia yake ya kuipandisha Mbeya Kwanza kucheza Ligi Kuu Bara 2022-2023 na kinara wa mabao Ligi ya Championship msimu…

Read More

JKT Mgulani waipambania sita bora

KOCHA wa JKT Mgulani, Frank Kisiga amesema kwa sasa wanachokipambania ni kuhakikisha timu yao inamaliza msimu ikiwa nafasi ya sita bora na siyo kushuka daraja. Katika mechi saba timu hiyo imeshinda mbili na kufungwa michezo mitano, jambo ambalo kocha Kisiga alisema walipata muda wa kuyarekebisha makosa, wanaamini wanarejea kwa kishindo. “Kwanza tulikutana na timu ambazo…

Read More