
Pazi wanawake kuja kivingine | Mwanaspoti
KOCHA wa Pazi, Karimu Bakari Mbuke amesema mechi zilizosalia dhidi ya Real Dream, UDSM Queens, Twalipo Queens, DB Lioness, Kigamboni Queens na Vijana Queens zipo ndani ya uwezo wao kuhakikisha wanashinda na kutinga hatua ya robo fainali. Mbuke licha ya kukiri Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) msimu huu ni ngumu hasa kwa…