MAAFANDE wa Tanzania Prisons wamegoma kushuka daraja kwa mara nyingine baada ya kuifumua Fountain Gate mabao 3-1 katika mechi ya marudiano ya play-off iliyopigwa kwenye
Category: Michezo

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la

YANGA imetumia takribani saa tano kwenye paredi la ubingwa kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julisu Nyerere hadi kufika makao makuu ya timu hiyo,

Rais wa Yanga Hersi Said, ofisa habari wa klabu hiyo Ally Kamwe na kiungo mshambuliaji Clatous Chama wameibuka washehereshaji kwa kucheza juu ya gari lililobeba

Yanga imefika Makao makuu ya mtani wake Simba, hapo kukaa kidogo lakini gumzo ni pale walipoamua kuwakebehi kwa kuimba wimbo wa klabu hiyo uliopigwa na

PAREDI la Yanga limeibua shangwe saa chache baada ya kuingia mtaa wa Karume shangwe na ongezeko la mashabiki wakiusindikiza msafara limetawala. Yanga imewasili Karume 16:00

PAREDI la Yanga limesimamisha mwendokasi eneo la Msimbazi baada ya kusimama kwa muda wakati gari iliyobeba mataji, wachezaji na viongozi wa timu hiyo lilipofika eneo

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema ugumu waliopitia msimu huu umewafanya leo kufurahia matunda. Hersi aliyasema hayo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa

KATIKA msafara wa Yanga, bodaboda wamepata fursa ya kubeba mashabiki kwa kujipatia kipato, kutoka kwa mashabiki ambao wamechoka kutembea na kuamua kutumia usafiri huo. Mwanaspoti

Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali