
Gamondi aanza na sare Kagame
KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…