Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More

Jamhuri iko freshi, meneja aita mashabiki

Zikiwa zimebaki takriban wiki mbili na ushei kabla ya kurejea kwa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Jamhuri uliopo mjini Dodoma upo tayari baada ya awali kufungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na matatizo mbalimbali. Meneja wa uwanja huo, Hussein Muhondo amesema dimba hilo ambalo linatumiwa na Dodoma Jiji limeshafanyiwa marekebisho na kwamba kwa…

Read More

Simba na rekodi ya ajabu Cecafa Kagame Cup

LICHA ya kutoshiriki fainali za Cecafa Kagame 2025, Simba inashikilia rekodi mbili kwa wakati mmoja ikiwa ni timu iliyotwaa mataji mengi zaidi na ndiyo iliyopoteza mechi nyingi zaidi za fainali katika mashindano hayo. Wekundu hao wa Msimbazi wametwaa taji mara sita miaka ya 1974, 1991, 1992, 1995, 1996 na 2002 na kuwafanya kuwa timu yenye…

Read More

Tabora United yatangulia nusu fainali kwa kishindo

USHINDI wa mabao 4-0 ilioupata Tabora United dhidi ya Eagle FC, umeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Tabora United imetinga nusu fainali kufuatia kukusanya pointi sita kwenye Kundi A lenye timu tatu baada ya kushinda mechi zote mbili. Katika mchezo uliofanyika leo Septemba 2, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite…

Read More

Manyika aingia Namungo na mkakati wa kufuta rekodi mbovu

Rekodi ya Namungo kuwa na wastani wa kuruhusu mabao 30+ katika kila msimu ndani ya misimu sita iliyoshiriki Ligi Kuu Bara tangu 2019-2020, imemfanya kocha wa makipa wa kikosi hicho, Peter Manyika, kuingia na mpango kazi maalum. Manyika amesema katika kuhakikisha lango la timu hiyo linakuwa salama zaidi, anapambana kuwaandaa vijana wake kuwa katika kiwango…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess azitaka Simba, Yanga

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amesema mikakati ya timu hiyo ni kuhakikisha inarudi kwenye makali yake na kupambania ubingwa mbele ya vigogo Simba Queens na Yanga Princess. Kanyanga aliwahi kuzifundisha Ceasiaa Queens, Mburahati Queens, Gets Program na sasa Fountain Gate aliyoanza nayo mwishoni mwa msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema msimu uliopita haukuwa…

Read More

Yanga kuzindua ‘Tunapiga kichwani’ kesho Dar

Yanga itazindua tamasha la Wiki ya Mwananchi kesho katika Viwanja vya Zakhem vilivyopo Mbagala jijini Dar es Salaam huku ikithibitisha kuwa baadhi ya tiketi zimeisha. Meneja wa Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema katika uzinduzi huo watataja majina ya wasanii watakaonogesha kilele Cha tamasha hilo litakalofanyika Septemba 12. Kamwe amesema wamefanya maboresho makubwa kuelekea kilele…

Read More

Kamwe amjibu Fadlu, awataja Pacome, Nzengeli

Ulisikia kocha wa Simba, Fadlu Davids akidai kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kuamua mechi akitumia neno X- factor? Basi Yanga imemjibu. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amemjibu Fadlu kiaina akisema timu yao wala haina shida na wachezaji wenye ubora huo. Kamwe amesema Yanga ina wachezaji wengi wenye…

Read More

Simba kuwatangaza Nangu, Yakoub | Mwanaspoti

WACHEZAJI wapya wa Simba, kipa Yakoub Suleiman na beki wa kati Wilson Nangu tayari wamepigwa picha zitakazotumika kuwatangaza kuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao. Chanzo cha uhakika cha Mwanaspoti kimesema baada ya Simba kukamilisha kila kitu kwa ajili ya usajili wa wachezaji hao, leo Jumanne wamepigwa picha kabla ya kujiunga na timu ya…

Read More