Simba Yakomaa Dhidi ya Yanga, Dabi ya Kariakoo Yamalizika kwa Sare
Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Simba wamekataa unyonge mbele ya mahasimu wao wa jadi, Young Africans SC (Yanga), baada ya kulazimisha sare ya 0-0 katika mechi kali ya Dabi ya Kariakoo iliyopigwa kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa na hamasa ya kipekee kutoka kwa mashabiki wa…