Dodoma Jiji yamnasa kiungo wa Tabora United

DODOMA Jiji imeanza kujipanga mapema kwa msimu ujao na sasa imeshanasa saini ya kiungo wa Tabora United, Nelson Munganga aliyekuwa akiwindwa na Namungo ya mkoani Lindi. Mkongomani huyo (31) aliyetua Tabora msimu uliomalizika akiitumika mwaka mmoja akifunga bao moja, huku akiwa miongoni mwa wachezaji bora katika safu ya kiungo ya kikosi hicho. Mwanaspoti linafahamu, miongoni…

Read More

Eliuter Mpepo atajwa Mbeya City

WINGA Eliuter Mpepo huenda akaendelea kusalia kwenye ramani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuhusishwa na mipango ya kujiunga na kikosi cha Mbeya City, ambacho kimepanda daraja msimu huu. Kwa mujibu wa taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, Mpepo anatajwa kuwa kwenye rada ya benchi la ufundi la Mbeya City, ambalo lipo katika mchakato wa kuimarisha kikosi…

Read More

Sibayon kupishana na Mukwala Simba

Simba inapambana kuhakikisha inampata mshambuliaji aliyeachwa na Mamelodi Thabang Sibanyon kama itamuuza staa wake, Steven Mukwala. Hiki ni kipindi cha usajili kwa mastaa wa Ligi Kuu Bara ambapo dirisha lilifunguliwa Julai Mosi na litafungwa Septemba 07 mwaka huu. Simba tayari imeshaachana na wachezaji…

Read More

Sabri Kondo atesti zali Sweden

INAELEZWA kiungo kinda wa Singida Black Stars, aliyekuwa kwa mkopo Coastal Union, Sabri Kondo anafanya majaribio na Sirius ya nchini Sweden. Kiungo huyo aliwahi kukipiga KVZ ya Zanzibar kabla ya kusajiliwa na Singida Black Stars mwaka 2024, na baadaye kutolewa kwa mkopo kwenda Coastal. Chanzo kiliiambia Mwanaspoti kuwa kinda huyo yupo nchini humo kwa takribani…

Read More

Simchimba anukia Singida Black Stars

KLABU ya Singida Black Stars iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao, hivyo kuingia vitani moja kwa moja na Dodoma Jiji ambayo awali ilikuwa ni ya kwanza kumuhitaji pia. Dodoma Jiji ilikuwa ya kwanza kumuhitaji mshambuliaji huyo, ikiamini atakuwa mbadala sahihi wa aliyekuwa mfungaji…

Read More

Hii hapa njia ya Twiga Stars WAFCON

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars leo inahitaji ushindi wa pointi tatu dhidi ya Ghana ili kufuzu robo fainali ya Fainali ya Mataifa ya Afrika (WAFCON) yanayoendelea Morocco. Mechi hiyo ya mwisho ya Kundi C itapigwa kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane na Tanzania inahitaji ushindi tu ili ifuzu na kuandika historia…

Read More

Chama la Edwin Balua lina historia

TAARIFA mbalimbali zinaeleza kuwa kiungo wa Simba, Edwin Balua ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda Enosis Union Athletic Paralimni FC ya Cyprus. Makubaliano ya mkataba huo wa mkopo yana kipengele cha kumnunua moja kwa moja iwapo ataonyesha kiwango bora. Timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo ina historia yake kwenye mashindano ya ndani na…

Read More

Namungo kunoa makali Dodoma | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisaka maeneo ya kwenda kufanya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao, Namungo FC mapema imeshajua ni wapi itakwenda kuweka kambi yake, huku katibu wa klabu hiyo Ally Suleiman akifunguka kuhusu kocha mpya wa kikosi hicho. Namungo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tisa ikiwa imejizolea pointi 35 katika mechi 30 ilizocheza ikishinda tisa,…

Read More

Simba yahamia kwa beki Mnigeria

BAADA ya Simba kumkosa aliyekuwa beki wa kati wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Souleymane Coulibaly ambaye amejiunga na IFK Varnamo ya Sweden, kwa sasa mabosi wa kikosi hicho wametua Nigeria mmoja matata kutoka Nigeria. Simba inahitaji tena beki mwingine wa kati baada ya kudaiwa huenda pia ikampa mlango wa kutokea, Che Fondoh Malone msimu…

Read More

Ayoub Lakred avunja ukimya | Mwanaspoti

SIKU chache tangu amalizane na Simba, kipa Ayoub Lakred aliyetua FUS Rabat ya Morocco, amevunja ukimya kwa kufichua kuwa, licha ya kuondoka Msimbazi, lakini klabu hiyo itaendelea kuwa moyoni mwake kwa namna alivyoishi nayo, huku akiitaja Yanga. Lakred aliyeitumikia timu hiyo kwa msimu mmoja ya kupata majeraha yaliyomweka nje kwa muda mrefu, licha ya kuendelea…

Read More