Ayoub Lakred avunja ukimya | Mwanaspoti

SIKU chache tangu amalizane na Simba, kipa Ayoub Lakred aliyetua FUS Rabat ya Morocco, amevunja ukimya kwa kufichua kuwa, licha ya kuondoka Msimbazi, lakini klabu hiyo itaendelea kuwa moyoni mwake kwa namna alivyoishi nayo, huku akiitaja Yanga. Lakred aliyeitumikia timu hiyo kwa msimu mmoja ya kupata majeraha yaliyomweka nje kwa muda mrefu, licha ya kuendelea…

Read More

Simba yateua watano kamati ya usajili

UONGOZI wa klabu ya Simba umeteua majina matano yatakayounda kamati mpya ya usajili ya timu hiyo ambayo ipo sokoni kusajili nyota watakaoibeba msimu ujao. Kamati hiyo awali ilikuwa na Crecensius Magori, Mulamu Nghambi, Kassim Dewii na Sued Mkwabi ambao waliteuliwa kusimamia usajili mapema msimu ulioisha. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

AYE kupeleka vijana Marekani kupitia ufadhili wa masomo

KATIKA hatua ya kuibua na kukuza vipaji vya vijana wa Kitanzania, taasisi ya African Youth Empowerment (AYE) imetangaza kuanza rasmi mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholarship) kwa vijana wenye vipaji maalum kwa ajili ya kusoma na kuendeleza ndoto zao nchini Marekani. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkurugenzi Mtendaji wa AYE, Muyimba Gerald amesema kuwa mpango huo…

Read More

Beki KMC kutimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More

Waarabu wamnyatia nyota Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Azam FC raia wa Senegal, Alassane Diao amethibitisha hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, huku taarifa zikieleza yupo katika mazungumzo ya kujiunga na Etoile du Sahel ya Tunisia iliyoonyesha nia ya kumuhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Diao alisema baada ya kukitumikia kikosi hicho kwa misimu miwili, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, ingawa timu…

Read More

Waarabu wamnyatia nyota Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Azam FC raia wa Senegal, Alassane Diao amethibitisha hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, huku taarifa zikieleza yupo katika mazungumzo ya kujiunga na Etoile du Sahel ya Tunisia iliyoonyesha nia ya kumuhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Diao alisema baada ya kukitumikia kikosi hicho kwa misimu miwili, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, ingawa timu…

Read More

Kiungo Mtanzania awindwa na Waarabu

KIUNGO Mtanzania Suzana Adam, ambaye alikuwa anakipiga FC Masar ya Misri, anawindwa na timu za Ligi Kuu nchini humo na Morocco. Nyota huyo amemaliza mkataba wa miaka miwili aliokuwa anatumikia FC Masar, alipojiunga mwaka 2023 akitokea Fountain Gate Princess ya Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, meneja wa mchezaji huyo, James Mlaga, alisema ni kweli amemaliza mkataba…

Read More

Beki KMC kuitimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More