Mavambo atajwa Singida Black Stars

BAADA ya kushindwa kufanya kile kilichotarajiwa na Simba, kiungo mkabaji mwenye uraia wa Angola na DR Congo, Debora Fernandes Mavambo anatajwa kutimkia Singida Black Stars msimu ujao. Debora alijiunga na Simba kwa mkataba wa miaka mitatu mwanzo mwa msimu ulioisha akitokea Mutondo Stars ya Zambia. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwanaspoti Mavambo…

Read More

Nkane afichua siri zake Yanga

KIUNGO mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake na Yanga, Denis Nkane amekiri kunufaika na klabu hiyo ndani na nje ya uwanja, hivyo itabakia katika kumbukumbu ya maisha yake ya mpira wa miguu. Nkane alijiunga na Yanga Januari Mosi, 2022 akitokea Biashara United ndani ya misimu mitatu alifanikiwa kuvaa medali za Ligi Kuu na Kombe la FA, lakini…

Read More

Ecua deal done! Wakala athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Ecua deal done! Hersi athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Kiungo ghali aleta balaa Simba, Yanga

HADI kufikia Ijumaa usiku, taarifa zilibainisha Simba ilikuwa kwenye mazingira mazuri ya kummiliki kiungo Balla Moussa Conté kutoka CS Sfaxien ya Tunisia baada ya kufikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miaka miwili, lakini ghafla, Jumamosi asubuhi likaibuka jambo jipya. Kilichotokea ni Yanga imeingilia kati mazima na inabainishwa imemaliza dili moja kwa moja kwa kumpa mkataba…

Read More

Richard Huff: Mwanaume mwenye tattoo zaidi ya 240

Dar es Salaam. Methali ya Kiswahili isemayo “Usimhukumu mtu kwa sura yake” ni ya zamani lakini bado ina maana, hasa wakati ambao mwonekano wa mtu hauendani na matarajio ya jamii. Richard Huff (51), ambaye mwili wake umejaa tattoo zaidi ya 240, zikiwemo kadhaa usoni, ni baba wa watoto watano na mume mwenye mapenzi ya dhati….

Read More

Pacome awatema Chama na Kibu MVP, Juni

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu Bara akiwaacha Clatous Chama na Kibu Denis wa Simba. Mbali na Pacome lakini aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi pia amechaguliwa kocha bora wa mwezi mbele ya Rachid Taoussi wa Azam FC na Fred Felix wa Pamba Jiji. Pacome…

Read More

Pacome awatema Chama na Kibu MVP

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu Bara akiwaacha Clatous Chama na Kibu Denis wa Simba. Mbali na Pacome lakini aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi pia amechaguliwa kocha bora wa mwezi mbele ya Rachid Taoussi wa Azam FC na Fred Felix wa Pamba Jiji. Pacome…

Read More

Chama azigonganisha Azam FC, Zesco

WAKATI Azam FC ikimpigia hesabu aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama ikiwa ni pendekezo pia la kocha wa timu hiyo, Florent Ibenge, kikosi hicho kinakabiliwa na ushindani kutoka kwa Zesco United ya Zambia inayomuhitaji. Nyota huyo aliyezichezea timu mbalimbali zikiwemo Ittihad Alexandria SC ya Misri, Lusaka Dynamos FC ya Zambia, Simba ya Tanzania na…

Read More

Simba Queens kuanza upya | Mwanaspoti

KOCHA msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema kipindi cha usajili kinachoendelea kwa sasa, wanafumua kikosi hicho na kuingiza sura nyingi chipukizi, lengo ni kutengeneza ushindani wa ndani na nje. Mgosi alisema mipango ya Simba Queens msimu ujao ni mikubwa baada ya uliyoisha 2024/25 kushika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya…

Read More