Twiga Stars, Banyana Banyana zagawana pointi WAFCON 2025

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imeipa mshtuko Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’ baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 katika mchezo uliomalizika muda mfupi uliopita wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024 kwenye Uwanja wa Honneur, Oujda Morocco. Katika mchezo huo, Twiga Stars ilitangulia kupata bao katika dakika ya…

Read More

Labota, Odongo wafyekwa Singida Black Stars

UONGOZI wa Singida Black Stars umevunja mkataba nyota wake wawili wa kigeni kupisha usajili mpya tayari kwa kujiweka witi na msimu mpya wa 2025/26. Singida iliwavunjia mikataba viungo washambuliaji wawili, Emmanuel Bola Lobota raia wa DR Congo na Mganda Matthew Odongo ambao wameachwa kutokana na kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika timu hiyo….

Read More

Fountain yambeba jumla straika wa mabao

MABOSI wa Fountain Gate wamefanikisha kumnunua moja kwa moja mshambuliaji Edgar William aliyekuwa akiitumikia timu hiyo kwa mkopo kutoka Singida Black Stars. Edgar aliitumikia Fountain Gate kwa mkataba wa mwaka mmoja ambao ulikuwa ni wa mkopo na kuifungia timu hiyo mabao sita. Chanzo cha kuaminika kutoka Fountain Gate kililiambia Mwanaspoti, kutokana na kuvutiwa na uwezo…

Read More

Siri ya Maxi, Simba yafichuka

KIPYENGA cha usajili tayari kimepulizwa. Kikimaanisha kwamba klabu mbalimbali zimeingia sokoni kusaka nguvu mpya tayari kwa msimu ujao wa michuano mbalimbali. Yanga, Simba pamoja na Azam na Singida Black Stars ni miongoni mwa timu zilizowekeza nguvu kubwa kwenye usajili zikiangalia zaidi ushiriki wao kimataifa msimu ujao. …

Read More

Mastaa Simba wampitisha Tshabalala | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba huenda wameshtushwa na taarifa za kuondoka kwa beki wa kushoto, Valentin Nouma, aliyeaga mapema tangu juzi kuonyesha hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa mashindano wa 2025-2026, huku nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ akiwa hajapewa mkataba. Tshabalala ni mmoja ya wachezaji waandamizi wa klabu hiyo ambao bado hajapewa mkataba mpya hadi…

Read More

Ibenge anaitaka saini ya Basiala

AZAM imepania. Baada ya kufanikiwa kumnasa kocha mwenye cv kubwa barani Afrika, Florent Ibenge, kisha kuwanasa kipa Aishi Manula na viungo Himid Mao na Muhsin Malima sambamba na beki Lameck Lawi, mabosi wa klabu hiyo sasa wameamua kufanya fujo isiyoumiza kwa Msimbazi. Inadaiwa, wakati Simba ikirudi kwa klabu ya AS Union Maniema ya DR Congo…

Read More

Simba yafunga hesabu kwa Conte

Simba imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa CS Sfaxien, Balla Moussa Conte leo Ijumaa, Julai 11, 2025. Kiungo huyo wa ulinzi raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 21, alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na Sfaxien unaofikia tamati 2026 ambao Simba imeuvunja na kumnasa mchezaji huyo. Conte amekuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo wa Sfaxien…

Read More

MO Dewji awatuliza Simba, akiahidi neema

WAKATI vurugu za mastaa wa Simba kuaga baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed ‘Mo’ Dewji amewatuliza mashabiki na wanachama wa Msimbazi na kuahidi neema msimu ujao. Baadhi ya mastaa wa klabu hiyo, wameshaaga akiwamo Fabrice Ngoma,  Valentino Nouma, Awesu Awesu na…

Read More

MO Dewji awatuliza mashabiki Simba, akiahidi neema

WAKATI vurugu za mastaa wa Simba kuaga baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed ‘Mo’ Dewji amewatuliza mashabiki na wanachama wa Msimbazi na kuahidi neema msimu ujao. Baadhi ya mastaa wa klabu hiyo, wameshaaga akiwamo Fabrice Ngoma,  Valentino Nouma, Awesu Awesu na…

Read More

WAJASIRIAMALI WANUFAIKA WA CAMFED WAONYESHA BIDHAA SABASABA

  Mmoja wa wajasiriamali wanufaika wa Shirika la CAMFED Tanzania akizungumza kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – maarufu kama Sabasaba wanayoshiriki kutangaza biashara wanazozifanya kwa sasa. Sehemu ya wajasiriamali wanufaika wa Shirika la CAMFED Tanzania wakiwa na bidhaa zao mbalimbali kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – maarufu kama Sabasaba…

Read More