
Watatu Simba wajiandaa kutua Yanga
SIMBA Queens imeshawapa taarifa wachezaji ambao haitakuwa nao msimu ujao na kati yao watatu wanahusishwa kujiunga na Yanga Princess. Wachezaji hao ni kiungo Ritticia Nabbosa, Asha Djafar na Precious Christopher ambao mikataba yao kikosini hapo imeisha. Asha Djafar aliyedumu kikosini hapo kwa misimu mitano mfululizo akiisaidia Simba kubeba mataji mbalimbali, amepewa taarifa hatakuwa sehemu ya…