Tuhamishie nguvu zote katika CHAN sasa

YALIYOPITA si ndwele na kijiwe kinatembea na kauli hiyo muda huu mfupi ambao umebakia kabla ya kuanza kwa Fainali za Mafaifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024. Ni mashindano yatakayofanyika katika ardhi yetu kwa maana Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu wenyeji wa mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…

Read More

Johora bado yupo sana Mashujaa

UONGOZI wa Mashujaa umeendelea kumshikilia kipa wao Erick Johora baada ya kumwongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuendelea kusalia katika kikosi hicho. Kipa huyo alipoteza nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza cha timu hiyo akizidiwa maujanja na Patrick Muntari aliyemaliza na clean sheet 12 akiachwa nyuma tano na kinara Moussa Camara aliyemaliza na 17. Chanzo…

Read More

Wamisri wawili wamwania beki KMC

ALIYEKUWA beki wa kushoto wa KMC, Rahim Shomary ameziingiza vitani timu mbili za National Bank of Egypt SC na Haras El Hodood zote za Misri zilizoonyesha kuvutiwa na uwezo mkubwa wa nyota huyo, kwa ajili ya kuzichezea msimu ujao. Nyota huyo amemaliza mkataba na KMC na hakuna mazungumzo mapya yaliyofanyika ili kuongeza mwingine na wawakilishi…

Read More

Juma Mgunda nje, Mzambia anaingia Namungo

UONGOZI wa Namungo FC umeachana rasmi na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda, baada ya kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba kwa pande zote mbili, huku Mzambia Hanour Janza aliyewahi kuifundisha akitajwa kurithi mikoba hiyo kwa msimu ujao wa mashindano. Mbali na Mgunda, Namungo pia imeshawapa ‘thank you’ wachezaji watatu waliokuwa na kikosi hicho…

Read More

WAFCON 2024: Twiga Stars hata droo tu

BAADA ya kuanza vibaya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars usiku wa leo inarudi tena uwanjani kutesti zali kwa kukabiliana na watetezi wa taji hilo, Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’. Twiga ilianza kwa kulambwa bao 1-0 na Mali katika mechi ya kwanza ya…

Read More

Yanga yatia mkono dili la kiungo Simba

LICHA ya Yanga kufanikisha kumuongeza mkataba mpya kiungo Khalid Aucho ili aendelea kuitumikia timu hiyo, inadaiwa mabosi wa Jangwani wameamua kutia mkono katika dili la kiungo mmoja fundi wa mpira kutoka klabu ya Cs Sfaxien aliyekuwa akiwindwa na Simba. Lengo la Yanga kutaka kumvuta kiungo huyo ni kumuongezea nguvu Aucho, lakini akishikilia pia hatma ya…

Read More

Wasauzi wafika bei kwa Mukwala

MABOSI wa Simba wanaendelea kusuka kikosi hicho kimyakimya kwa mapendekezo ya kocha Fadlu Davids, aliyepo mapumziko kwa sasa, lengo likiwa ni kurudi katika msimu mpya wa mashindano wakiwa wa motoo. Hata hivyo, mabosi hao kwa sasa wanasikilizia dili la fedha ndefu kutoka kwa klabu mbili maarufu Afrika zinazotaka kumng’oa straika wa mabao wa klabu hiyo…

Read More

Ikanga Speed aigomea Yanga | Mwanaspoti

KIUNGO Mshambuliaji, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ aliyeingia Yanga kupitia dirisha, imetoa masharti mazito kwa mabosi wa klabu hiyo waliotaka kumtoa kwa mkopo kwenda Singida Black Stars. Yanga ni kama bado haijamuelewa vya kutosha Ikanga Speed waliyemsajilui Januari mwaka huu akitokea AS Vita na hivyo, walikubaliana ikiwezekana wampeleke Singida akanoe makali zaidi na kupata nafasi ya…

Read More

Fadlu ashikilia faili la kiungo Mkongo

KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja kutoka DR Congo ambaye faili lake limetua mezani mwa kocha Fadlu Davids. Kocha huyo aliyepo mapumziko kwa sasa, ndiye anayesubiriwa kufanya maamuzi ya kusajili wa kiungo huyo aliyewahi kuhusishwa na…

Read More