WAFCON 2024: Twiga Stars hata droo tu

BAADA ya kuanza vibaya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars usiku wa leo inarudi tena uwanjani kutesti zali kwa kukabiliana na watetezi wa taji hilo, Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’. Twiga ilianza kwa kulambwa bao 1-0 na Mali katika mechi ya kwanza ya…

Read More

Yanga yatia mkono dili la kiungo Simba

LICHA ya Yanga kufanikisha kumuongeza mkataba mpya kiungo Khalid Aucho ili aendelea kuitumikia timu hiyo, inadaiwa mabosi wa Jangwani wameamua kutia mkono katika dili la kiungo mmoja fundi wa mpira kutoka klabu ya Cs Sfaxien aliyekuwa akiwindwa na Simba. Lengo la Yanga kutaka kumvuta kiungo huyo ni kumuongezea nguvu Aucho, lakini akishikilia pia hatma ya…

Read More

Wasauzi wafika bei kwa Mukwala

MABOSI wa Simba wanaendelea kusuka kikosi hicho kimyakimya kwa mapendekezo ya kocha Fadlu Davids, aliyepo mapumziko kwa sasa, lengo likiwa ni kurudi katika msimu mpya wa mashindano wakiwa wa motoo. Hata hivyo, mabosi hao kwa sasa wanasikilizia dili la fedha ndefu kutoka kwa klabu mbili maarufu Afrika zinazotaka kumng’oa straika wa mabao wa klabu hiyo…

Read More

Ikanga Speed aigomea Yanga | Mwanaspoti

KIUNGO Mshambuliaji, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ aliyeingia Yanga kupitia dirisha, imetoa masharti mazito kwa mabosi wa klabu hiyo waliotaka kumtoa kwa mkopo kwenda Singida Black Stars. Yanga ni kama bado haijamuelewa vya kutosha Ikanga Speed waliyemsajilui Januari mwaka huu akitokea AS Vita na hivyo, walikubaliana ikiwezekana wampeleke Singida akanoe makali zaidi na kupata nafasi ya…

Read More

Fadlu ashikilia faili la kiungo Mkongo

KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja kutoka DR Congo ambaye faili lake limetua mezani mwa kocha Fadlu Davids. Kocha huyo aliyepo mapumziko kwa sasa, ndiye anayesubiriwa kufanya maamuzi ya kusajili wa kiungo huyo aliyewahi kuhusishwa na…

Read More

Dar City, KIUT kazi ipo BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unatarajiwa kurejea upya kesho Ijumaa na  Uwanja wa Donbosco Upanga kutakuwa na vita nzito kati ya Dar City dhidi ya KIUT. Mchezo huo unasuburiwa kwa hamu na mashabiki wengi kuona kama KIUT yenye historia ya kufunga vigogo wa ligi, baada ya kuzifunga JKT…

Read More

Kumekucha Yanga, mastaa sita Kuachwa

BAADA ya Yanga Princess kuonyesha kiwango kizuri msimu huu, itaachana na wachezaji sita na kuongeza nyota wapya. Nyota hao ni Danai Bhobho ambaye alitumikia Yanga kwa msimu mmoja akitokea Simba Queens, Rebeca Ajimida kutokea Nigeria ambaye hakupata nafasi ya kucheza kikosini hapo. Neema Paul aliyemaliza mfungaji bora kikosini hapo akiweka kambani mabao 12 sawa na…

Read More

Aishi Manula kachagua klabu sahihi

HAKUNA mahali bora kama nyumbani na ndiyo maana wahenga wakasema nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani. Inapendeza zaidi kuona mtoto anapoamua kurejea nyumbani baada ya kukaa nje kwa miaka kadhaa katika harakati za utafutaji wa riziki na changamoto mpya. Kijiweni hapa tunaona imekuwa ni jambo bora kwa kipa Aishi Manula kurejea katika klabu ya Azam…

Read More

Msimu umeisha, boresheni viwanja sasa

MSIMU unapomalizika, ni fursa nzuri kwa wachezaji kupumzisha miili baada ya kuitumikisha kwa zaidi ya miezi nane kama sehemu ya kuwajibika kwa timu zilizowaajiri. Viongozi wa timu na maofisa wa mabenchi ya ufundi, wanakitumia kipindi hiki kuboresha vikosi vyao kwa kuwaondoa baadhi ya wachezaji ambao wanaonekana hawawezi kuwa na mchango mkubwa kwa timu na kuingiza…

Read More