Makatta ajitwisha zigo la Polisi Tanzania

MABOSI wa Polisi Tanzania wamempa mkataba wa miaka miwili, Mbwana Makatta, baada ya kocha huyo kutokuwa na timu tangu mara ya mwisho alipoachana na Tanzania Prisons Desemba 28, 2024, kutokana na mwenendo mbaya katika Ligi Kuu Bara. Makatta aliyewahi kuinoa Polisi Tanzania, alitambulishwa Julai 9, 2025, Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa klabu hiyo,  Kamishna wa…

Read More

Kazi ipo hapa kwenye ufungaji BDL

WAKATI timu zikiwa zimebakiza michezo saba kila moja kukamilisha mzunguko mmoja wa Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL), shughuli ni nzito kwa wafungaji kutokana na ushindani mkubwa uliopo. Nyota wanaowania ufungaji bora hadi sasa ni Ntibonela Bukeng (Savio), Godfrey Swai, (Savio), Yasini Shomari (Mgulani JKT), Enerico Maengela (ABC), Jamel Marbuary (Dar City) na Jonas…

Read More

Kiungo KMC aziingiza vitani Namungo, JKT Tanzania

KIUNGO mkabaji wa zamani wa KMC, Pascal Mussa ameziingiza vitani Namungo na JKT Tanzania zinazoiwania saini yake baada ya kumalizana na waajiri wake wa zamani. Mussa tayari amewaaga KMC na amelithibitishia Mwanaspoti tayari ana ofa mbili mkononi kutoka Namungo na JKT Tanzania na mazungumzo baina ya pande zote mbili yanaendelea vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema…

Read More

Simba yapanda dau kwa Muda

WAKUBWA wa Kariakoo wameanza kuonyeshana ubabe wa matumizi ya fedha, ambapo mabosi wa klabu za Simba na Yanga hivi sasa wanazimwaga ili kunasa mastaa wa maana kwa ajili ya mashindano msimu ujao wa soka. Nyuma ya ubabe huo unaambiwa kwamba yule kiungo mahiri aliyemaliza mkataba Yanga, Mudathir Yahya amenasa katika mtego wa pande hizo mbili,…

Read More

Kambi yanga iko huku | Mwanaspoti

YANGA imebakiza hatua chache kumtangaza kocha mpya wa timu hiyo, lakini mezani kwa mabosi wao kuna nchi tatu zinataka kuona ufundi wa kwanza wa mtaalamu huyo wa ufundi. Yanga inaelezwa imeshamalizana na kocha mpya wa kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri, huku jina la Julien Chevalier aliyekuwa Asec Mimosas ya Ivory Coast…

Read More

Rais Samia atajwa siri ya ushindi Mwiba Lodge kuwa kambi bora ya kifahari ya Utalii Tanzania.

Na Pamela Mollel,Meatu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu ametajwa kuchochea Ushindi ya Tuzo ya Tanzania Leading Luxury Tanted Safari Camp 2025 iliyopata Mwiba Lodge iliyopo wilaya ya Meatu, mkoa wa Simiyu katika Tuzo za Utalii Duniani(World Travel Awards)zilizofanyika Jijini Dar es Saalam wiki iliyopita. Ushindi huu wa kwanza wa kihistoria…

Read More