Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali
Category: Michezo

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii

Wakati wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo wakiingia kwenye gari tayari kwa ajili ya kuanza msafara wa Paredi la Yanga, mastaa

LICHA ya mashabiki kuzuiliwa kuingia ndani ya eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, eneo la nje ya uwanja huo limefunikwa na

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

TANZANIA itaendelea kuwakilishwa na nyota mwingine kwenye michuano ya Ulaya, kiungo Charles M’Mombwa ambaye hivi karibuni alijiunga na Floriana FC ya Malta. Floriana FC inashiriki

MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia klabu ya Yanga Sh100 millioni kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa ya klabu hiyo kwa msimu wa 2024/25.

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

MTANZANIA Yassin Nasser ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma