Waziri Riziki Pembe akagua miradi ya viwanja vya michezo Unguja
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema ujenzi wa viwanja vya michezo ni hatua muhimu katika kuibua na kukuza vipaji vya vijana nchini. Ametoa kauli hiyo jana Desemba 4, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya ujenzi wa viwanja vya michezo katika Wilaya za Unguja. Waziri huyo amesema…