Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 13
Michezo

Nyomi la mashabiki lawapokea mastaa Yanga

June 30, 2025 Admin

Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali

Read More
Burudani Michezo

Mbosso na Aviola laivu Jangwani 

June 30, 2025 Admin

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii

Read More
Michezo

Mkude, Sureboy, Farid wakacha paredi la Yanga

June 30, 2025 Admin

Wakati wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo wakiingia kwenye gari tayari kwa ajili ya kuanza msafara wa Paredi la Yanga, mastaa

Read More
Michezo

Mashabiki Yanga waipamba Airport | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

LICHA ya mashabiki kuzuiliwa kuingia ndani ya eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, eneo la nje ya uwanja huo limefunikwa na

Read More
Michezo

QPR ya England yamalizana na beki Mbongo

June 30, 2025 Admin

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

Read More
Michezo

Mtanzania mwingine kucheza UEFA | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

TANZANIA itaendelea kuwakilishwa na nyota mwingine kwenye michuano ya Ulaya, kiungo Charles M’Mombwa ambaye hivi karibuni alijiunga na Floriana FC ya Malta. Floriana FC inashiriki

Read More
Michezo

Pamba Jiji yatua kwa beki Mzambia

June 30, 2025 Admin

MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki

Read More
Michezo

Yanga yaoga minoti Zanzibar, yazawadiwa Sh100 milioni

June 30, 2025 Admin

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia klabu ya Yanga Sh100 millioni kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa ya klabu hiyo kwa msimu wa 2024/25.

Read More
Michezo

QPR yamalizana na beki Mbongo

June 30, 2025 Admin

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

Read More
Michezo

Nasser amtisha mtetezi Mbio za Rwanda

June 30, 2025 Admin

MTANZANIA Yassin Nasser  ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 12 13 14 … 640 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.