Kambi yanga iko huku | Mwanaspoti

YANGA imebakiza hatua chache kumtangaza kocha mpya wa timu hiyo, lakini mezani kwa mabosi wao kuna nchi tatu zinataka kuona ufundi wa kwanza wa mtaalamu huyo wa ufundi. Yanga inaelezwa imeshamalizana na kocha mpya wa kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri, huku jina la Julien Chevalier aliyekuwa Asec Mimosas ya Ivory Coast…

Read More

Rais Samia atajwa siri ya ushindi Mwiba Lodge kuwa kambi bora ya kifahari ya Utalii Tanzania.

Na Pamela Mollel,Meatu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu ametajwa kuchochea Ushindi ya Tuzo ya Tanzania Leading Luxury Tanted Safari Camp 2025 iliyopata Mwiba Lodge iliyopo wilaya ya Meatu, mkoa wa Simiyu katika Tuzo za Utalii Duniani(World Travel Awards)zilizofanyika Jijini Dar es Saalam wiki iliyopita. Ushindi huu wa kwanza wa kihistoria…

Read More

‘Amani ya nchi imo mikononi mwa vyombo vya habari’

Dar es Salaam. Wadau wa habari wamesema ili nchi ya Tanzania iendelee kuwa na amani na utulivu, vyombo vya habari vina jukumu la kulinda hali hiyo kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Mwaka huu Tanzania, itafanya uchaguzi mkuu utakaowaweka madarakani Rais, wabunge na madiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hayo yamesemwa…

Read More

Zanzibar yanadi maeneo sita ya uwekezaji

Dar es Salaam.  Wakati Zanzibar inajipanga kuwa kituo bora cha uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi imeainisha ikiainisha sekta sita zenye fursa kubwa za ukuaji wa haraka zinazoweza kutumiwa na wawekezaji. Sekta hizo ni uchumi wa buluu, utalii, mali isiyohamishika (real estate), viwanda, kilimo na ushirikiano kati ya sekta binafsi na ya…

Read More

Aliyeiua Yanga anukia Azam FC

AZAM FC haina utani baada ya kutambulisha kocha mpya, Florent Ibenge na nyota watatu wazawa  Aishi Manula, Lameck Lawi na Muhsin Malima, lakini kwa sasa mabosi wa klabu hiyo wanadaiwa wameanza mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Al Hilal ya Sudan, Yaser Muzmel Muhamed Altayeb ikiwa ni pendekezo la Ibenge aliyewahi kufanya naye pia…

Read More