Dili la Bwalya laingia dosari Pamba Jiji

DILI la aliyekuwa kiungo wa Simba, Mzambia Larry Bwalya la kujiunga na Pamba Jiji msimu huu limeingia dosari baada ya nyota huyo kudaiwa bado ana mkataba wa miaka miwili na Napsa Stars inayommiliki, licha ya kukiri yupo huru. Taarifa ambazo Mwanaspoti limezipata zinadai kiungo huyo hakuwa mkweli kwa uongozi wa Pamba kwa kile alichoueleza amemaliza…

Read More

Makambo bado yupo sana Bongo

KAMA ulikuwa unadhani Heritier Makambo aliyekuwa Tabora United na kudaiwa ametimka ndo kaondoka kimoja? Umekosea, kwani jamaa bado yupo sana Bongo baada ya kudaiwa yupo hatua ya mwisho kujiunga na Namungo. Taarifa ambazo Mwanaspoti limepenyezewa ni kwamba uongozi wa Namungo uko katika mazungumzo ya kupata saini ya mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga baada ya…

Read More

Bocco ampisha Paul Peter JKT Tanzania

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji, Paul Peter amejiunga na JKT Tanzania akipishana na John Bocco anayetajwa kuachwa. Peter akiwa na Dodoma Jiji aliyefunga mabao manane anaenda kuungana na Matheo Antony ambaye hakuwa na msimu mzuri kutokana na kuwa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na majeraha. “Ripoti ya mwalimu ilikuwa inatuhitaji tusajili mshambuliaji tuimeanza…

Read More

Kwa Raizin simu zinaita sana

STRAIKA na kinara wa mabao katika Championship msimu uliopita, Raizin Hafidh amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka timu kadhaa kuhitaji huduma yake, lakini bado hajaamua huku akitaja dau ili kunasa saini yake. Nyota huyo mwenye rekodi ya kupandisha timu Ligi Kuu, alikuwa mfungaji bora Championship akitupia mabao 22 katika mashindano yote na kuirejesha Mtibwa…

Read More

Ibenge amtibulia dili beki KMC

BAADA ya Azam FC kumtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge, inaelezwa kuwa dili la beki wa KMC, Raheem Shomari, limekufa baada ya kocha huyo kujiunga na Matajiri wa Chamazi. Nyota huyo aliyeibuka Mchezaji Bora Chipukizi kwa msimu wa 2023-2024, alikuwa katika hatua za mwi-sho kumalizana na Al Hilal ya Sudan,…

Read More

Kihimbwa ajifunga mwaka Mashujaa | Mwanaspoti

TIMU mbalimbali zinaimarisha vikosi kwa kuongeza sura mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, miongoni mwazo ni Mashujaa ambayo tayari imewasainisha baadhi ya wachezaji. Kati ya wachezaji waliomalizana nayo ni winga Salum Kihimbwa aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alimaliza na mabao manne na asisti tano akiwa na…

Read More

Coastal, Pamba zatua kwa Maseke

TIMU za Coastal Union na Pamba Jiji zimeingia anga za kuhitaji huduma za kipa Wilbol Maseke aliyemaliza mkataba wake na KMC msimu ulioisha akiwa na ‘clean sheet’ tatu alizozipata katika mechi tano alizocheza. Awali Mbeya City ndiyo ilianza kusaka huduma ya kipa huyo, lakini haikufikia naye mwafaka na sasa timu ambayo inamwelekeo mzuri ni Coastal…

Read More