Simba ni Misri au Uturuki

MABOSI wa Simba SC kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo wameanza mikakati ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26, ambapo imefahamika kuwa kambi imependekezwa tena kufanyika nje ya nchi ni ama Misri au Uturuki. Uamuzi huo umetokana na mapendekezo ya benchi la ufundi likiongozwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambaye inaelezwa amesisitiza…

Read More

Beno Ngassa ajibana Dodoma Jiji

WINGA machachari, Beno Ngassa amejiunga na timu ya Dodoma Jiji kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia katika msimu ujao. Ngassa alikuwa na wakati mzuri kwenye kikosi cha Tanzania Prisons kilichokuwa kinanolewa na kocha Aman Josiah ambapo tangu kocha huyo atue hapo Januari, mwaka huu, amefunga mabao matano na asisti tatu. Mwanaspoti linafahamu nyota huyo alikuwa…

Read More

Sita wakalia kuti kavu KMC FC

MASTAA sita wakalia kuti kavu KMC,wasubiri kikao cha mabosi kufanya maamuzi ya hatima ya kusalia kwao ndani ya klabu hiyo, baada ya mikataba yao kumalizika. Akizungumza na Mwanaspoti Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Mkoti Mwakasungura alisema, nyota hao wamemaliza mikataba na watakuwa na majadiliano yatakayotanguliwa na maamuzi ya uongozi na benchi la ufundi. Alisema maamuzi…

Read More

Watatu waiangusha Twiga Stars Wafcon

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Twiga Stars kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika Wanawake (WAFCON) inayoendelea nchini Morocco, imechangiwa na kukosekana kwa nyota watatu wa eneo la ushambuliaji. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Bakari Shime, kuwakosa Aisha Masaka, Clara Luvanga na Opa Clement, limekuwa pigo kubwa na…

Read More

Namungo FC yamrejesha Kikoti | Mwanaspoti

MABOSI wa Namungo wameamua kumrejesha nyumbani kiungo mnyumbulifu, Lucas Kikoti ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Coastal Union. Kikoti alijiunga na Coastal Union msimu wa 2023/24 akitokea Namungo na kudumu hadi 2024/25. Mwanaspoti linafahamu mchezaji huyo amejiunga na Namungo kwa mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Ruangwa mkoani Lindi kwa kuanzia…

Read More

Wanafunzi walioduwaza wakongwe kikapu taifa

KAMA una malengo ya kufanya vizuri katika mashindano cha kwanza unatakiwa ufanye maandalizi ya kutosha na uwe na  wachezaji wenye uwezo mkubwa. Hicho ndicho ilichofanya timu ya kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (Dream Team) wanaume na ile ya wanawake ya Mkoa wa Arusha katika mashindano ya Kombe la Taifa yaliyomalizika mjini Dodoma. Katika…

Read More

Chama la Wana lina dakika 90 Tanzanite Kwaraa

Stand United ‘Chama la Wana’, ina dakika 90 ngumu za kupindua meza, itakapokuwa ugenini leo Jumanne katika mechi ya marudiano ya ‘Play-Off’ kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao dhidi ya Fountain Gate. Mechi hiyo itakayopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, mjini Babati, mkoani Manyara, ni ya marudiano baada ya ile ya kwanza iliyopigwa CCM Kambarage mjini…

Read More

Simba yavamia dili la Ecua Yanga

HUENDA hii isiwe taarifa nzuri kwa mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wakianza kuchekelea chinichini baada ya kuwahabarisha juu ya dili la straika wa ASEC Mimosas na MVP wa Ligi Kuu ya Ivory Coast (Ligue 1), Celestin Ecua lililobaki hatua chache kabla ya kutua Jangwani. Ndio, Yanga inadaiwa kuwa ipo hatua nzuri ya kumnasa Ecua aliyehusika…

Read More

Gamondi aanza na kipa wa Simba

Singida Black Stars iliyopo chini ya Kocha Miguel Gamond, imedaiwa iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kipa wa Simba, Hussein Abel baada ya nyota huyo kumaliza mkataba alionao na kikosi hicho, huku kukiwa pia hakuna mazungumzo mapya ya kubakizwa msimu ujao. Kipa huyo wa zamani wa Coastal Union, Taifa Jang’ombe ya Zanzibar, Tanzania Prisons…

Read More