Kennedy Musonda atua Israel | Mwanaspoti

SIKU moja baada ya kuwaaga mashabiki wa Yanga baada ya kumaliza mkataba, mshambuliaji Kennedy Musonda amejiunga na Hapoel Ramat Gan inayoshiriki Ligi Daraja la Pili  Israel maarufu kama Liga Leumit. Jana, Musonda aliwaaga Wananchi ambao amewatumikia kwa miaka miwili na nusu na kuwafungia mabao 34, akitoa asisti 13 ambapo ametwaa mataji matatu ya ligi na…

Read More

Elimu itolewe kuhusu sheria, kanuni soka la Wanawake

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na taasisi zingine limetakiwa kutoa elimu kwa wadau kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua. Sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatoa haki hizo lakini uchunguzi uliofanywa na Mwanaspoti umebaini haifahamiki kwa wachezaji wengi, makocha na hata uongozi wa vilabu….

Read More

Musonda aaga rasmi mashabiki Yanga

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa mshambuliani, Kennedy Musonda hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa msimu ujao wa 2025/26 mwenyewe ameibuka na kuwaaga mashabiki na wanachama wa timu hiyo. Musonda ameitumikia Yanga kwa misimu miwili na nusu akitwaa mataji matatu ya Ligi na Kombe la Shirikisho pamoja Ngao ya Jamii mara mbili. Kupitia…

Read More

Kufuru, huu hapa mshahara wa Ibenge Azam

MAMBO ni bambam kwa Wanalambalamba Azam FC baada ya kumalizana na aliyekuwa kocha mkuu wa Al Hilal Omdruman ya Sudan, Florent Ibenge, inayokipiga katika Ligi Kuu Mauritania kwa sasa, kwani ameshatia maguu Chamazi, Dar es Salaam. Lakini, kama unataka kujua nini amedhamiria kukifanya kocha huyo ndani ya chama hilo, endelea kusikilizia kwa sasa, ingawa amegusia…

Read More

Kiungo Mtanzania autamani ubingwa England

KIUNGO mwenye asili ya Tanzania, Tarryn Allarakhia anayekipiga katika klabu ya Rochdale AFC ya England, amesema msimu huu wanaingia kwa nguvu mpya kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuukosa msimu uliopita. Allarakhia, ambaye aliwahi kuitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kilichocheza mechi za kirafiki dhidi ya Sudan Mei…

Read More

Dodoma Jiji yashtukia janja ya Azam FC

BAADA ya Azam FC kumpigia hesabu za kumrejesha aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Idd Kipagwile, mabosi wa Dodoma Jiji wameshtukia dili hilo mapema na kuamua kumwongezea mkataba wa miaka miwili baada ya huu wa sasa kumalizika. Nyota huyo wa zamani wa Polisi Tanzania, KMC FC na Namungo FC, ameonyesha kiwango kizuri msimu huu na…

Read More

Simon Msuva kusalia Iraq | Mwanaspoti

HUENDA mshambuliaji wa Kitanzania na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Somon Msuva akasalia kwenye kikosi cha Al Talaba msimu ujao. Kiwango bora alichoonyesha Msuva akiisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya nne kwenye mechi 38 za Ligi Kuu, ikishinda 18 sare tisa na kupoteza 11 kwa mabao yake 12 aliyofunga kimewashawishi viongozi wa timu hiyo kuendelea…

Read More

Mbeya City yavamia dili la beki Simba

MABOSI wa Mbeya City wameanza kuingilia kati dili la beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi ambaye mkataba wake na kikosi hicho cha Msimbazi umefikia tamati msimu huu, baada ya awali nyota huyo kuanza mazungumzo ya kujiunga na Mashujaa FC. Kazi aliyejiunga na timu hiyo Julai 20, 2023, akitokea Geita Gold, ameshindwa kupenya katika kikosi…

Read More

Nicholas Gyan aingia anga za Pamba Jiji

PAMBA Jiji imeonyesha nia ya kunasa saini ya winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana, Nicholas Gyan kwa ajili ya kuwapa huduma yake msimu ujao 2025/26. Nyota huyo ambaye amecheza kwa mafanikio Simba hajamaliza msimu na timu ya Fountain Gate kutokana na changamoto ya malipo sasa ni mchezaji huru yupo nchini kwao Ghana. Chanzo cha…

Read More

Beki Coastal Union amtaja Pacome

BEKI wa kati wa Coastal Union na timu ya Taifa ya Zanzibar, Abdallah Denis ‘Vivaa’, ametamka wazi kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ndiye mchezaji hatari zaidi kwa sasa Ligi Kuu Bara. Viva ambaye aliwahi kuichezea Malindi ya Ligi Kuu Zanzibar, alisema hana shaka kuwa Zouzoua ni tofauti na viungo wengi waliopo ligi kuu…

Read More