Twiga Stars yaanza mambo Wafcon 2024

LEO saa 4:00 usiku, timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars itashuka kwenye Uwanja wa Stade Municipal de Berkane, Morocco, kuivaa Mali katika mchezo wa kwanza wa Kundi C ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024. Michuano hiyo ilianza rasmi Jumamosi kwa michezo ya kundi A, ambapo mwenyeji…

Read More

Kocha Mkongomani anukia Dodoma Jiji

MABOSI wa Dodoma Jiji FC wako katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kocha wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi baada ya kuvutiwa na uwezo wake, wakiamini atatengeneza kikosi bora kitakacholeta ushindani mkubwa msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime aliyejiunga na timu hiyo, Juni 19, 2024, akitokea…

Read More

Simba yamganda Pogba wa Zenji

WATANI wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga wameendelea ushindani wao nje ya uwanjani kwa kuamua kuvamia visiwani Zanzibar na hususani katika klabu ya Mlandege kwa ajili ya kubeba viungo wanaojua kutembeza boli kwa ajili ya kusuka vikosi vyao kwa msimu ujao wa mashindano. Ilianza Yanga kwa kuvamia Mlandege na kukamilisha dili la kumnasa…

Read More

Walibya wampandia dau Aziz KI

LILE dili la kiungo mshambuliaji Stephane Aziz KI pale Wydad Athletic limeingia mdudu baada ya kocha wa timu hiyo kutaka akatwe na akikatwa anarejea Yanga, lakini kuna jipya limeibuka juu ya nyota huyo raia wa Burkina Faso. Aziz aliyeondoka Yanga hivi karibuni kwenda kujiunga na Wydad na kuungana na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Seleman…

Read More

Simba, Yanga zaongezewa noti Afrika

KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuongeza fedha kwa timu zinazotolewa hatua ya awali. Simba, Yanga na Mlandege zitaiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa,  wakati Azam, Singida BS na KMKM zenyewe zitacheza…

Read More

Kutojua sheria kigingi wanasoka wa kike

Licha ya kutotekelezwa sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua, uchunguzi uliofanywa na Mwananchi umebaini kanuni hizo hazifahamiki kwa wachezaji wengi, makocha na hata uongozi wa vilabu. Kati ya wachezaji wa timu zote za Ligi Kuu ya Wanawake waliozungumza na kufanyiwa…

Read More

Mangalo, Mtibwa bado kidogo tu

BAADA ya kukaa nje ya uwanja msimu mzima akiuguza jeraha la goti, beki wa zamani wa Biashara United na Singida Foutain Gate, Abdulmajid Mangalo yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Mtibwa Sugar. Mangalo ambaye alikuwa anajiuguza goti alirejea kwenye uwanja wa mazoezi tangu dirisha dogo la msimu ulioisha lakini hakupata ofa ambayo ingemfanya arudi…

Read More

Musonda avunja ukimya Yanga | Mwanaspoti

HAKUNA ubishi kwamba maisha ya mshambuliaji wa Kennedy Musonda ndani ya Yanga yamefikia tamati baada ya kuitumikia timu hiyo kwa misimu miwili na nusu, lakini mwenyewe ameamua kuvunja ukimya kwa kuzungumza kwa mara ya kwanza na Mwanaspoti. Nyota huyo wa kimataifa wa Zambia, alijiunga na Yanga katika dirisha dogo la msimu wa 2022-2023 akitokea Power…

Read More

Saliboko mikononi mwa maafande | Mwanaspoti

MAAFANDE wa JKT Tanzania wako katika mazungumzo kwa ajili ya kuipata saini ya mshambuliaji wa KMC FC, Daruweshi Saliboko ili kuichezea timu hiyo msimu ujao, baada ya kuonyesha nia ya kuhitaji kuondoka kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya. Mmoja wa watu wa karibu na mchezaji huyo, aliliambia Mwanaspoti Saliboko ameanza mazungumzo na mabosi wa JKT,…

Read More

Singano ataja ugumu wa Mexico

BEKI wa FC Juarez inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico, Julietha Singano amesema ugumu wa ligi hiyo unamfanya aonyeshe jitihada zaidi. Huu ni msimu wa tatu mfululizo kwa beki huyo wa timu ya taifa ‘Twiga Stars’ kuichezea timu hiyo akifanikiwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja mbele ya nyota kibao kutoka mataifa…

Read More