Samatta apata pigo zito, afiwa na baba mzazi

NI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ‘Samagol’ kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Pazi Samatta. Mzee Samatta amefariki dunia asubuhi hii ya Jumapili akiwa nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More

Camara ajadiliwa Simba, mabosi watoa msimamo

KIKAO cha mabosi wa Simba kimefikishiwa makosa aliyofanya kipa Moussa Camara yalivyoigharimu timu msimu uliomalizika, kisha ukafanyika uamuzi juu ya nyota huyo raia wa Guinea. Camara ambaye alitua Simba mwanzoni mwa 2024-2025 akitokea Horoya ya Guinea ndiye amekuwa kipa namba moja kikosini baada ya Ayoub Lakred kuwa na majeraha ya muda mrefu na kuondolewa kwenye…

Read More

Ecua atikisa dili la Sowah Yanga

SIKU moja baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa huenda straika Celestin Ecua akatua na kocha mpya wa timu hiyo anayekuja kuchukua mikoba ya Miloud Hamdi, mambo yanadaiwa kuonekana kwenda vizuri huku ikidaiwa amepindua dili la Jonathan Sowah, raia wa Ghana. Straika huyo ambaye ndiye MVP wa Ligi Kuu Ivory Coast, amemaliza msimu wa 2024-2025 akitupia mabao…

Read More

2025 haukuwa mwaka wa Simba

LICHA ya kuonyesha kiwango bora Simba imemaliza msimu ikiwa mikono mitupu, bila kutwaa taji lolote katika mashindano yote iliyoshiriki jambo linalozua maswali mengi miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo. Katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ilimaliza katika nafasi ya pili nyuma ya watani wao wa jadi, Yanga, waliotwaa ubingwa kwa mara ya nne mfululizo. Hili…

Read More

Msauzi ashikilia hatma ya Aziz KI Wydad

BAADA ya kucheza dakika 11 kwenye mechi mbili za Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya Manchester City na Juventus, kiungo mshambuliaji wa Wydad, Stephane Aziz KI huenda asiwe sehemu ya kikosi hicho msimu ujao huku ikielezwa ili abaki kuna ishu anaisikilizia. Wydad ilicheza mechi tatu za michuano hiyo na kuondolewa hatua ya makundi bila…

Read More

Ibenge awatega mastaa Azam, afichua usajili atakaoufanya

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika,  lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata nafasi ya ushiriki michuano ya kimataifa. Ibenge amefunguka hayo muda mchache baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo, huku akiweka wazi anaenda kukaa na wachezaji ili waelewe nini anakitaka…

Read More

Beki JKT mbioni kuibukia Msimbazi

SIKU moja tangu kuvuja kwa taarifa ya ripoti ya kocha wa Simba, Fadlu Davids kutaka asajiliwe majembe sita mapya ili kuunda kikosi bora cha msimu ujao akiwamo beki wa kati, Mwanaspoti limenasa jina la beki ambaye ameingia katika rada za Wekundu wa Msimbazi kutoka JKT Tanzania. Beki huyo wa kati ni Wilson Nangu anayedaiwa menejimenti…

Read More

Straika Mbeya City anukia Mashujaa

VIONGOZI wa Mashujaa FC wako katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo Ligi Kuu kumaliza mkataba wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho. Nyota huyo aliyewahi kuchezea timu mbalimbali zikiwemo Coastal Union ya Tanga, Pamba Jiji ya Mwanza kisha kutua Mbeya City, amemaliza mkataba…

Read More

Manyasi azigonganisha Singida BS, Mtibwa Sugar

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili wachezaji wapya na kuboresha maeneo yenye upungufu. Miongoni mwa hizo ni Mtibwa Sugar iliyopanda daraja na Singida Black Stars inayohitaji nguvu mpya kuelekea michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika –…

Read More