Manyasi azigonganisha Singida BS, Mtibwa Sugar

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili wachezaji wapya na kuboresha maeneo yenye upungufu. Miongoni mwa hizo ni Mtibwa Sugar iliyopanda daraja na Singida Black Stars inayohitaji nguvu mpya kuelekea michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika –…

Read More

Ambundo suala la muda Mbeya City

INAELEZWA kwamba hesabu za Mbeya City sasa ziko kwa Dickson Ambundo, nyota mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji ambapo msimu wa 2024-2025 aliitumikia Fountain Gate. Nyota huyo pia amewahi kuzitumikia Dodoma Jiji, Alliance na Yanga na Singida Big Stars, alikuwa Fountain Gate kwa misimu miwili kabla ya miezi kadhaa iliyopita kuripotiwa kuondoka kambini. Taarifa za…

Read More

Simba kuanza na hawa usajili wa 2025/26

MABOSI wa Simba katikati ya wiki walikutana kujadili mambo mbalimbali ikiwamo kupitia ripoti ya kocha Fadlu Davids ili kusuka kikosi cha msimu ujao huku wakiafikiana na pendekezo la kuanza na mashine sita. Simba ilikuwa na kikao cha Bodi ya Wakurugenzi kilichoongozwa na Mwenyekiti Mohammed ‘MO’ Dewji sambamba na viongozi wa zamani ambacho pia kilifanya tathmini…

Read More

Ibenge apiga mkwara, akizitaja Simba, Yanga

MUDA mchache baada ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameahidi kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho akifurahia kupata nafasi ya uwakilishi kimataifa huku akiitaja Simba na Yanga. Ibenge aliyemaliza mkataba na klabu ya Al Hilal Sudan aliyoipa  ubingwa wa Ligi Kuu ya Mauritania msimu huu, amesema amefurahi kupata nafasi ya kuinoa…

Read More

Ibenge rasmi Azam, afichwa hotelini

MWANASPOTI limejiridhisha kwamba Kocha maarufu raia wa DR Congo, Florent Ibenge yupo Dar es Salaam. Kocha huyo mwenye mafanikio kwenye soka la Afrika, amewasili Dar es Salaam saa 11 jioni hii kumalizana na Azam FC na ataiongoza timu hiyo msimu ujao. Mwanaspoti linajua kwamba Ibenge ambaye wakati fulani aliwahi kutakiwa na Simba na Yanga, amefikia…

Read More

Fountain Gate yaizima Stand United kwao

Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo uliojaza mashabiki wengi. Fountain imefika hapa baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya 14 ambapo ilicheza mchezo wa kwanza wa mtoano na Prisons na kupoteza kwenye matokeo ya jumla. Ushindi…

Read More

Panga TFF DK msolla atoa ya moyoni

WAKATI Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikimpitisha Wallace Karia kuwa mgombea pekee wa urais wa shirikisho hilo, mmoja wa wagombea waliofyekwa, Dk Mshindo Msolla ametoa ya moyoni kutokana na kukata jina katika uchaguzi huo. Uchaguzi mkuu wa TFF unatarajiwa kuanza Agosti 16, mwaka huu. …

Read More

Namba zitaamua hatma ya mastaa Tanzania Prisons

BAADA ya kufanikiwa kubaki Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi la Tanzania Prisons limesema halitakurupuka kupangua kikosi, badala yake litachambua mchezaji mmoja mmoja kuhakikisha msimu ujao wanakuwa bora. Hata hivyo, limesisitiza kuwa lazima mabadiliko yawepo kwa kwa kuingiza sura mpya kutegemea na mipango yake ya msimu ujao kuhakikisha wanaondokana na presha kama ilivyowakuta msimu…

Read More