
Tanzania Prisons, Mbeya City kupigwa pini Sokoine
MENEJA wa Uwanja wa Sokoine, Modestus Mwaluka amesema licha ya rekodi aliyoweka ya kutofungwa kwa uwanja huo, ataendelea kuwa mkali kwa timu zinazotumia uwanja huo kwa ajili ya mazoezi. Uwanja huo pekee mkoani Mbeya ndio hutumika mara kadhaa kwa timu za jijini humo kufanya mazoezi na mechi nyingine za mashindano ikiwa ni pamoja na za…