Aucho ajibu tuhuma za utovu wa nidhamu Singida BS

BAADA ya uongozi wa Singida Black Stars kutangaza kumsimamisha kwa miezi mitatu Khalid Aucho kwa tuhuma za utovu wa nidhamu na kuchelewa kazini, kiungo huyo raia wa Uganda, ameonekana kujibu kupitia ujumbe aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram. Taarifa ya Singida Black Stars iliyotolewa leo Februari 27, 2026 na ofisi ya mtendaji mkuu wa klabu…

Read More

Ushindi wampa jeuri Ndayiragije | Mwanaspoti

USHINDI mtamu nyie. Baada ya TRA United kupata ushindi wa mabao 4-1 mbele ya Fountain Gate, kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema matokeo hayo yametoa majibu ya kile alichokuwa anakifanyia kazi uwanja wa mazoezi kwa safu ya ushambuliaji na sasa anarudi kuanza na safu ya ulinzi ili kupunguza uwiano wa mabao ya kufunga…

Read More

Pedro, Barker jeuri ipo hapa

IMEBAKI muda usiozidi saa 48 kabla ya Dabi ya Kariakoo haijapigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, huku makocha wa Yanga na Simba kila mmoja ni kama ana jeuri ya kujivuni jeshi lake katika kumpa furaha huko Zanzibar. …

Read More

Dube aanika ukweli wa mabao yake

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube amesema hashindani na mtu bali anashindana na rekodi zake mwenyewe ndani ya ligi sambamba na kufikia mafanikio ya mataji akiwa ndani ya timu hiyo. Dube amefunguka hayo baada ya kupachika bao lake la tano msimu huu likiwa ni la 18 kwake kwenye mechi 25 za ligi alizocheza tangu amejiunga na…

Read More

Namba zambeba Depu, amfunika Sowah

STRAIKA mpya wa Yanga, Laurindo Dilson Aurelio ‘Depu’ ameendelea kudhihirisha sio mtu wa mchezo mchezo kutokana na kasi yake ya ufungaji mabao Ligi Kuu Bara, akifunika mastaa kadhaa waliowahi kusajiliwa dirisha dogo na kutisha kwa kutupia mipira kambani. …

Read More

Ngoy aiokoa Namungo dakika za jioni 

AWAMU hii Namungo imekataa uteja mbele ya Singida Black Stars, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Majaliwa uliyopo Ruangwa, mkoani Lindi. Kipindi cha kwanza kilichomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana, Namungo ilipiga shuti moja golini, huku lingine likitoka nje wakati…

Read More

TRA yaizamisha Fountain Gate | Mwanaspoti

TRA United imeizamisha Fountain Gate kwa kuitandika mabao 4-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu jijini Arusha. Matokeo hayo yanaifanya TRA kupanda nafasi mbili kutoka ya 12 hadi 10 kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 16 baada ya kucheza 13, ikizishusha Coastal Union…

Read More