
Gamondi: Kwa Aucho, Chama subirini muone
SINGIDA Black Stars leo usiku inaanza kampeni ya kusaka taji la kwanza msimu huu itakapovaana na Coffee ya Ethiopia katika michuano ya Kombe la Kagame, huku kocha mkuu Miguel Gamondi akiwataja mastaa watatu wa zamani wa Yanga. Gamondi amesema uwepo kwa Khalid Aucho, Clatous Chama na Nickson Kibabage utamsaidia katika mechi kubwa za ndani na…