Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti
Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti – Global Publishers Home Michezo Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti
Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti – Global Publishers Home Michezo Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti
DAR City (DSM) na Fox Divas (Mara), zimeonyesha ubabe katika Ligi ya Kikaku ya Taifa (NBL), inayofanyika kwenye Uwanja wa Chinangali, Dodoma na kudhihirisha uwekezaji unalipa. Timu hizo ambazo zinatajwa kuwekeza katika kusajili wachezaji bora, Dar City iliyoanza uwekezaji huo mwaka 2022, ikishiriki ligi ya kikapu ya daraja la kwanza mkoa wa Dar es Salaam,…
KIUNGO wa zamani wa Tausi FC, Zuwena Aziz ‘Zizou’ amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Mogbwemo Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Sierra Leone. Kiungo anajiunga na timu hiyo akitokea Tausi ambako alidumu msimu mmoja akiipandisha chama hilo zamani likiitwa Ukerewe Queens Ligi Kuu. Kabla ya hapo aliwahi kuzitumikia Kigoma Sisters, Baobab Queens, Thika…
BAADA ya kuambulia suluhu dhidi ya Azam FC ugenini, kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema kupata pointi moja mbele ya mshindani waliyenaye kwenye malengo sawa siyo haba. Gamondi alifunguka hayo huku akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo walikuwa na mchezo mzuri kipindi cha pili tofauti na kipindi cha kwanza na walicheza chini ya…
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema suluhu dhidi ya JKT Tanzania imechangiwa na nidhamu nzuri ya kiuchezaji kwa wachezaji pale ikiwa na mipira au inapoipoteza mbele ya maafande hao. Ni suluhu ya pili kwa Chipo tangu ameanza kuisimamia Mtibwa Sugar alianza dhidi ya KMC, akaambulia pointi tatu dhidi ya TRA United kwa timu…
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Alhamisi kwa mechi mbili vinazohusisha vigogo Simba na Yanga zinazokabiliana na Fountain Gate na Mbeya City zikitoka katika majukumu ya mechi za kimataifa za Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini. Yanga yenyewe itaanza kazi saa 10 jioni kuikaribisha Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kabla…
KOCHA Dimitar Pantev aliyekuwa akitambulishwa kama meneja mkuu wa Simba amehitimisha siku 61 na huwezi kuamini siku hizo kuna mastaa wanne pekee waliotumika zaidi katika kikosi hicho chenye wachezaji 27, huku akizungumza na Mwanaspoti. Pantev aliyetambulishwa Oktoba 3 kama meneja mwenye taaluma ya ukocha, ameiongoza Simba katika mechi tano za mashindano ikiwamo moja ya Ligi…
MKURUGENZI wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Ayub Rioba Chacha, amesema mechi 32 za kuwania Fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON) zitarushwa mubashara bure kwenye chaneli ya TBC1 na TBC Taifa kwa ubora na ubunifu. Fainali hizo zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, timu ya taifa ya Tanzania itashiriki ikiwa…
AISHI Manula usiku wa leo Jumatano Desemba 3, 2025 amekaa golini kwa mara ya kwanza akiidakia Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita takribani siku 638.
KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kushuka uwanjani leo kuvaana na Fountain Gate, lakini mapema mabosi wameamua kumuachia msala kocha Pedro Goncavales kuhusu kiungo mkabaji, Moussa Balla Conte wakimtaka asake mbadala wake kupitia dirisha dogo. Mabosi wa Yanga ni kama hawajaridhishwa na uwezo wa Conte waliyemsajili kwa mbwembwe kutoka CS Sfaxien ya Tunisia na sasa wamemtaka Pedro…