Gamondi: Kwa Aucho, Chama subirini muone

SINGIDA Black Stars leo usiku inaanza kampeni ya kusaka taji la kwanza msimu huu itakapovaana na Coffee ya Ethiopia katika michuano ya Kombe la Kagame, huku kocha mkuu Miguel Gamondi akiwataja mastaa watatu wa zamani wa Yanga. Gamondi amesema uwepo kwa Khalid Aucho, Clatous Chama na Nickson Kibabage utamsaidia katika mechi kubwa za ndani na…

Read More

Namungo, City FC Abuja hakuna mbabe

MCHEZO wa Kundi C katika michuano ya Tanzanite Pre-Season International baina ya Namungo ya Tanzania Bara na City FC Abuja kutoka Nigeria, umemalizika kwa sare ya bao 1-1. Mshambuliaji wa Namungo, Heritier Makambo alifunga bao la mapema dakika ya tatu kwa ustadi mkubwa kufuatia pasi ya Abdulaziz Shahame. Bao hilo liliwafanya wachezaji wa Namungo kucheza…

Read More

JKU yaiadhibu TDS, Hamza aking’ara

JKU ya Zanzibar imeanza vizuri mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Mchezo huo wa Kundi C uliochezwa leo Septemba Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, mshambuliaji wa JKU, Koffy Hamza ndiye aliyepeleka kilio kwa TDS. Hamza alianza kuifungia JKU dakika ya tano kufuatia…

Read More

Ismail Mgunda hana presha Mashujaa

BAADA ya mshambuliaji wa Mashujaa, Ismail Mgunda kurejea kucheza Ligi Kuu Bara amesema anatamani kutajwa katika orodha ya wafungaji wenye mabao mengi msimu unaoanza Septemba 17. Mgunda katikati ya msimu uliyopita aliondoka Mashujaa akiwa amefunga mabao mawili kwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo ambako hata hivyo hakufanikiwa kutimiza ndoto kwa kile alichokitaja ni…

Read More

JKT Queens kamili kwenda kuliamsha  CECAFA

KIKOSI cha wachezaji 26 wa JKT Queens sambamba na benchi la ufundi na viongozi wengine 23 kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatatu, Septemba Mosi, 2025, kwenda Nairobi, Kenya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Safari hiyo itaanzia Moshi, Kilimanjaro ilipokuwa kambi ya timu hiyo tangu Agosti 9, 2025,…

Read More

Wacolombia Azam FC wajiandaa kutua KMC

MABOSI wa KMC FC wako katika mazungumzo ya kukamilisha usajili wa nyota wawili wa Azam FC Wacolombia, kiungo, Ever Meza na mshambuliaji wa timu hiyo, Jhonier Blanco ambao wamekuwa pia hawana wakati mzuri tangu walipojiunga na kikosi hicho. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Azam inaweza kuwatoa nyota hao kutokana na kuwa na nafasi finyu ya…

Read More

Ajibu ajifunga mwaka mmoja KMC

KIKOSI cha KMC kinachonolewa kwa sasa na kocha wa zamani wa Taifa Stars na Yanga, Marcio Maximo, kimezidi kuimarishwa katika eneo la ushambuliaji baada ya kumsajili kwa mkataba wa mwaka mmoja, Ibrahim Ajibu aliyekuwa akiitumikia Dododma Jiji. Kiungo mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba, Yanga, Azam na Singida Big Stars kwa msimu uliopita akiwa na…

Read More