MWANARIADHA wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amejitosa kuibua vipaji vya michezo lengo ikiwa ni kuwa daraja la vijana kutimiza ndoto zao kama ilivyo kwake.
Category: Michezo

WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake,

KITENDAWILI cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons na Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa

MSHAMBULIAJI wa Brighton ya England na timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Aisha Masaka hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza mashindano ya

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja

KIKOSI cha Azam FC kimepewa mapumziko ya wiki tatu kabla ya kurejea wiki ya nne tayari kwa ajili ya kujiweka sawa kwa msimu mpya 2025/26.

AZANIA Boys imeanza vyema ligi ya TCA Inter-Academy baada ya kuifunga Tanga Boys kwa mikimbio 69 katika mchezo wa kriketi ya mizunguko 30 iliyochezwa jijini

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema iko katika mchakato wa ununuzi wa ndege nyingine nane licha ya kuwepo kwa zuio la ndege za Air