Kocha Hamdi avunja ukimya, aanika ukweli kuondoka Yanga

SIKU chache tu tangu aiwezeshe Yanga kubeba mataji mawili kwa mpigo kati ya matatu aliyotwaa tangu alipojiunga nayo Februari 4 mwaka huu, kocha Miloud Hamdi amewafanya sapraizi mashabiki wa klabu hiyo, huku akifunguka kila kitu kuhusu maisha akiwa Jangwani na safari nzima anayoenda kuanza akiwa Misri. Kocha huyo raia wa Algeria, juzi usiku alitamabulishwa na…

Read More

Yanga yaanza na kiungo fundi wa boli

MABINGWA wa Kihistoria Yanga, kwa sasa imeanza hesabu mpya za kukisuka kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao, kwa nia ya kuhakikisha inaendelea pale ilipoishia msimu huu ilipotwaa mataji matano tofauti, ikiwamo kutetea ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA) kwa mara ya nne mfululizo. Katika kuhakikisha kila kitu kinaendelea kuwa sawa, mabosi…

Read More

Gamondi karudi Bara, yupo Singida BS mjipange!

KOCHA wa zamani wa Yanga, Miguel Gamondi amerudi rasmi katika Ligi Kuu Bara baada ya kutangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Singida Black Stars. Uongozi wa Singida umemtangaza Gamondi kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho msimu ujao wa 2025/26 na kumbadilishia majukumu David Ouma. Gamondi amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuifundisha timu hiyo, hivyo…

Read More

Nina wasiwasi na Stars CHAN 2024

TANZANIA tumepata bahati kubwa ya kuandaa mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 ambazo zitaandaliwa kwa pamoja na sisi, Kenya na Uganda. Kupewa fursa kama hiyo ni jambo la heshima kwani inaonyesha imani kubwa ambayo Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) linalo kwa Tanzania…

Read More

Tunalikamata taratibu soko la Waarabu

KWA hapa Afrika, malisho bora zaidi ya kijani yapo katika klabu zinazopatikana Kaskazini mwa Afrika ambako mataifa yote yanazungumza lugha ya Kiarabu. Jamaa klabu zao zina jeuri ya fedha buana na ndio maana zinaweza kupiga hodi kwa klabu nyingi hapa Afrika na zisibishiwe kwa vile zina hela na hapa kijiweni wote tunakubali kwamba mwenye nguvu…

Read More

Gamondi, Singida BS ni suala la muda tu!

KUNA taarifa za aliyekuwa kocha wa Yanga, Miguel Gamondi yupo mbioni kujiunga na Singida Black Stars kwa ajili ya kuifundisha msimu ujao. Gamondi aliyejiunga na   Yanga Julai 11, 2023 na akachukua ubingwa wa Ligi Kuu na FA, aliondoka  Novemba 15, mwaka jana imeelezwa sababu ya kujiunga na SBS ni uzoefu alionao ambao mabosi wa…

Read More

Uchaguzi TFF wapingwa BMT | Mwanaspoti

WAKATI usaili wa wagombea 25 waliojitokeza kuwania nafasi za kuliongoza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukifanyika jana uchaguzi huo umepingwa katika ofisi za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya mawakili watano kuandika barua ya kutaka usifanyike kwa madai ya kukiukwa kwa taratibu. …

Read More

Mushi mzuka mwingi ufungaji pointi kikapu

BAADA ya Jonas Mushi kutoka timu ya Stein Warriors kushika nafasi sita katika ufungaji wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ametamba kurudi katika nafasi yake ya kwanza aliyoizoea. Mushi aliyewahi kuwa mfungaji bora katika mashindano ya kanda ya tano ya Afrika, ameshika nafasi hiyo baada ya kufunga pointi 128. Kwa mujibu…

Read More