Ligi Shinyanga inaanza upyaaa | Mwanaspoti

LIGI ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Shinyanga inatarajia kuendelea Jumapili, kwa mchezo kati ya timu ya B4 Mwadui na Risasi. Mchezo huo wa Ligi ya Mkoa, utafanyika kwenye Uwanja wa Risasi. Kamishna wa ufundi  na mashindano  wa Ligi hiyo George Simba, amesema Ligi ya mkoa huo  ilisimama kupisha mashindano ya Kombe la Taifa. …

Read More

Umuhimu wa mshikamano wa kijamii katika Uislamu

Uislamu unahimiza kusaidiana na kushirikiana ili kujenga jamii yenye huruma, haki na mshikamano wa kweli. Hakika, haifichiki kwa mwenye akili timamu kwamba jamii inayojengwa juu ya ushirikiano na mshikamano, yenye mapenzi ya kipaumbele na undugu miongoni mwa watu wake, huwa ni jamii imara, iliyostawi na iliyojengeka. Jamii ya aina hii haiwezi kubomolewa na yeyote, wala…

Read More

Kocha Yanga atua Ismaily ya Misri

BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi atambulishwa katika klabu ya Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja. Hamdi alijiunga na Yanga katikati ya msimu ulippita  akitokea Singida Black Stars akichukua mikoba ya Sead Ramovic na kuiongoza timu hiyo kwenye mechi 12 za ligi. Kocha huyo anajiunga na Ismaily…

Read More

Majaliwa aacha maswali matatu | Mwananchi

Dar/Lindi. Nini kimetokea hadi Kassim Majaliwa kutangaza hagombei tena ubunge wa Ruangwa, je nani atakuwa Waziri Mkuu wa 11 na yeye atafanya nini? Haya ni baadhi ya maswali ambayo yameibuka saa chache baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa kutangaza uamuzi wa kujiweka kando na mbio za ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Saa 10:00 jioni…

Read More

Prisons: Tukutane msimu ujao muone!

‘TUKUTANE msimu ujao’. Ni kauli ya kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah akielezea furaha yake kuibakiza timu hiyo Ligi Kuu, akibainisha kuwa nyota wake na uongozi umempa heshima. Josiah ambaye ilikuwa msimu wake wa kwanza kufundisha timu ya Ligi Kuu, amesubiri hadi mchezo wa mwisho wa play off dhidi ya Fountain Gate na kujihakikishia…

Read More

Mtibwa yampigia hesabu Dante | Mwanaspoti

MTIBWA Sugar imerejea Ligi Kuu Bara, ikiwa na moto ikianza kupiga hesabu za maana kwa upande wa usajili ikisuka jeshi lake litakalowabakisha wasishuke. Kikosi hicho kinapiga hesabu nzito za kuongeza timu kwa ajili ya mashindano ya msimu ujao, huku ikigoma kuacha asili yake kwa kuwatumia vijana wengi inaowazalisha. Ndio maana kwa sasa inataka kumrudisha beki…

Read More

Uongozi wa Birdi mbio za magari hatarini

UONGOZI wa Manveer Birdi katika mbio za kusaka taji la taifa la ubingwa wa mbio za magari umepata tishio jipya baada ya kushindwa kumaliza mashindano ya mbio za magari ya Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Kwa sasa, Gurpal Sandhu wa Arusha ndiye anayeongoza msimamo wa jumla kwa kuwa na pointi 52. Kutokana na Birdi…

Read More

Mashujaa, Kagera zamfuatilia Kabunda | Mwanaspoti

KLABU ya Mashujaa na Kagera Sugar iliyoshuka daraja rasmi zimeanza kumfuatilia mshambuliaji wa Namungo, Hassan Kabunda. Mshambuliaji huyo alisajiliwa Namungo msimu nwa 2022/23 akitokea KMC na alishawahi kucheza Mwadui FC ya Shinyanga. Taarifa ilizopata Mwanaspoti ni kuwa Kabunda amemaliza mkataba wa miaka mitatu na Namungo lakini Mashujaa na Kagera zinamfuatilia kwa ukaribu kupata saini yake….

Read More