Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao kazi, huku akiwaambia atabaki katika mioyo yao. Hatua ya kocha huyo kuaga inajiri baada ya jana Mtendaji Mkuu wa Al Hilal, Hassan Ali Issa kueleza  wamefikia uamuzi…

Read More

Hatma ya kina Mayay, Dk Msolla kujulikana leo

MCHAKATO wa Uchaguzi Mkuu wa TFF unaendelea kwa leo kuingia hatua ya usaili ambapo hatma ya wagombea 25 waliojitokeza kuchukua na kurudisha fomu inatarajiwa kufahamika baada usaili huo ulioanza tangu asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam. Wagombea sita wa nafasi ya Urais akiwamo anayetetea kiti, Wallace Karia, Ally Mayay, Dk Mshindo Msolla, Injinia Mustapha…

Read More

Aucho afurahia kutangaza ubingwa mbele ya Simba

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho amesema kitu kilichomfurahisha zaidi kwa msimu ulioisha ni kitendo cha kunyakua taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara mbele ya Simba, jambo lililodhihirisha ubora wao. Aucho ambaye msimu wa 2023/24 alicheza mechi 20 kwa dakika 1629 na kutoa asisti mbili, na 2024/25 amefunga bao moja  dhidi ya Mashujaa Yanga iliposhinda…

Read More

Azam FC yaja na mbadala wa Gibril Sillah

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Gibril Sillah kuaga kwenye timu hiyo mabosi wake wa zamani tayari wameshaweka sawa nani atakuwa mbadala wake. Kiungo huyo ambaye aliitumikia Azam ndani ya misimu miwili, majuzi aliandika waraka wa kuagana na timu hiyo, huku taarifa zikidai kuwa anaweza kuibukia kwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Sillah alikuwa…

Read More

Pacome ampindua Ahoua, malijendi wafunguka

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji wapya na kupanga namna maisha yatakavyokuwa msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Ishu ya kupanga maisha ya msimu ujao inapoendelea katika kila timu itakayoshiriki ligi hiyo na zile za chini, bado…

Read More

Pacome alivyomtesa Ahoua | Mwanaspoti

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji wapya na kupanga namna maisha yatakavyokuwa msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Ishu ya kupanga maisha ya msimu ujao inapoendelea katika kila timu itakayoshiriki ligi hiyo na zile za chini, bado…

Read More

Simba yakomaa na kiungo CS Sfaxen

WEKUNDU wa Msimbazi wamekosa kila kitu msimu huu katika mashindano ndani ya nchi, ambapo katika michuano yote wamepishana kidogo na makombe, kwani Ligi Kuu Bara wangeshinda mechi ya mwisho basi muda huu shamrashamra zingekuwa katika Mtaa ya Msimbazi, Dar es Salaam. Vivyo hivyo pia wiwapo chama hilo la kiungo Elie Mpanzu na Jean Charles Ahoua…

Read More

Makombe matatu yawagawa mabosi Yanga

ULILIONA vaibu la Yanga juzi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere pale Dar? Je unajua lile vaibu lilitokana na nini? Kina nani walioteka ile shoo? Sikia, achana na mambo mengine yooote yaliyokuwa yakiendelea, lakini kwa mashabiki wa timu hiyo ilikuwa ni zaidi na sherehe na wachezaji wao kutokana na kufanikiwa kubeba makombe…

Read More

Dante aaga KMC akicha maswali aendako

BEKI wa kati wa zamani wa Yanga, Vincent Andrew ‘Dante’ ametangaza kuachana na KMC yenye maskani yake Kinondoni baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka mitano. Dante alitoa shukrani za dhati kwa viongozi, benchi la ufundi, wachezaji wenzake na mashabiki wa KMC kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kuonyesha uwezo wake kwa muda wote aliokuwepo…

Read More

Morice mikononi mwa mabosi wa Simba

KLABU ya Simba imetoa mapumziko kwa wachezaji wake, lakini kabla ya kurejea na kuanza maandalizi ya msimu mpya, jambo moja kubwa linaendelea chini kwa chini katika suala la usajili. Unamkumbuka Morice Abraham? Kiungo kijana wa Kitanzania aliyekuwa akifanya mazoezi na Simba kwa muda wa takribani miezi miwili. Taarifa zinasema kuwa aliomba kufanya mazoezi na timu…

Read More