Mbadala wa Sowah ageuka lulu sokoni

WAKATI mabosi wa Singida Black Stars wakimpigia hesabu mshambuliaji nyota wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankonah kwa ajili ya msimu ujao, wanatarajiwa kukutana na ushindani kutokana na timu mbalimbali zilizoonyesha nia ya kumtaka. Amankonah anahitajika Singida Black Stars kwa ajili ya kuchukua nafasi ya mshambuliaji raia mwenzake wa Ghana, Jonathan Sowah ambaye inaelezwa anaweza…

Read More

Tausi yawatia hofu vigogo | Mwanaspoti

Kama hujui Tausi Royals imewekwa mtu kati na timu tatu zinazoifuatia katika msimamo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL) ikiwa inashiriki kwa mara ya pili na mara hii hadi sasa inaongoza katika msimamo ikiwa na  pointi 14. Timu zingine zenye pointi 14 ni Jeshi Stars, JKT Stars na…

Read More

City Bulls yageuka shamba la bibi

TIMU ya kikapu ya Vijana maarufu kama City Bulls imegeuka kuwa sehemu ambayo wachezaji wake wanachukuliwa bila na timu zingine hivyo kuwa sawa na akademi inayoibua wanamichezo na kisha wanaondoka. Hali hiyo imeifanya timu hiyo ishindwe kuonyesha makali katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kama ilivyozoeleka miaka mingi nyuma. Msimu huu…

Read More

Mkali wa mabao Namungo bado kidogo

STRAIKA Joshua Ibrahim aliyejiunga na Namungo katika dirisha dogo Januari, mwaka huu kutokea KenGold, kwa sasa imebaki yeye tu kusaini mkataba mpya kuendelea kuitumikia timu hiyo, baada ya mabosi kumuwekea mezani mkataba wa miaka miwili. Mabosi wa Namungo wameamua kumpa mkataba huo kutokana na kuridhishwa na kiwango bora alichoonyesha kikosini. Nyota huyo alijiunga na Namungo…

Read More

Ilanfya mambo freshi, mjipange | Mwanaspoti

BAADA ya mshambuliaji wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya kukaa nje kwa msimu mzima akiuguza jeraha la goti la kulia aliloumia kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Azam, amesema atarejea kivingine 2025/26. Ilanfya alisema licha ya kukaa nje alikuwa anafanya mazoezi na kufuatilia Ligi Kuu ili kujua kinachoendelea, na kilichomvutia zaidi ni kiwango walichokionyesha wazawa kama…

Read More

Hersi: Bado ahadi moja Yanga

RAIS wa Yanga, Hersi Said amesema anadaiwa ahadi moja kati ya tano walizoahidi walipopewa ridhaa ya kuongoza klabu hiyo. Akizungumza na mashabiki wa Yanga makao makuu ya klabu hiyo, amesema waliahidi kuwa na mabadiliko ya uendeshaji wa klabu ambayo amethibitisha kuwa hivi karibuni wanachama watajua thamani ya klabu hiyo. Pia ametaja ahadi ya pili kuwa…

Read More

Bosi Yanga apiga mkwara, hakuna wa kuwashusha

Uongozi wa klabu ya Yanga umeahidi usajili bora zaidi msimu ujao na kuweka wazi kuwa hakuna timu ya kuwashusha kwa mafanikio waliyoyapata misimu minne mfululizo. Hersi Said, rais wa Yanga ameyasema hayo makao makuu ya klabu alipokuwa akizungumza na nyomi ya mashabiki waliojitokeza kufurahia ubingwa ilioupata timu yao. Hersi amesema wachezaji walioondoka na watakaondoka wao…

Read More

Hersi aahidi Yanga bora zaidi msimu ujao

RAIS wa Klabu ya Yanga, Hersi Said amesema baada ya kutetereka kimataifa kwa misimu minne mfululizo, msimu ujao hawatarajii kufanya makosa. Yanga ambayo msimu wa mwisho kimataifa imeishia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu ujao itaiwakilisha nchi sambamba na Simba katika Ligi ya Mabingwa huku Azam na Singida Black Stars zikicheza Kombe la…

Read More

Hersi, Kamwe wageuka kivutio Yanga

Rais wa Yanga Hersi Said, ofisa habari wa klabu hiyo Ally Kamwe na kiungo mshambuliaji Clatous Chama wameibuka washehereshaji kwa kucheza juu ya gari lililobeba mataji ya klabu hiyo. Watatu hao wamesimama na kucheza nyimbo mbalimbali zilizopigwa ukiwemo Aviola baada ya gari hiyo kusimama zaidi ya nusu saa kutokana na foleni. Msafara wa Yanga ulitoka…

Read More

Kipa Simba atimkia Morocco | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakiendelea kujadiliana juu ya kumtema kipa Moussa Camara au la, taarifa kutoka klabu hiyo ya Msimbazi zinadokeza kuwa, mabosi hao wamemalizana na kipa Ayoub Lakred ambaye anajiandaa kwenda kujiunga na klabu ya FUS Rabat ya Morocco anakotokea. Kipa huyo, aliyekuwa kipa namba moja misimu miwili iliyopita kabla ya kuumia na kuletwa…

Read More