Huyu ndiye amechukua nafasi ya Arafat Haji PBZ

Unguja. Rais wa Zanzibar amemteua Fahad Soud Hamid kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ). Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said na kutumwa kwa vyombo vya habari leo Juni 30, 2025, uteuzi huo unaanza kesho Julai mosi, 2025. “Kabla ya uteuzi huo, Fahad alikuwa Mkurugenzi msaidizi, Idara…

Read More

Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wamegoma kushuka daraja kwa mara nyingine baada ya kuifumua Fountain Gate mabao 3-1 katika mechi ya marudiano ya play-off iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya. Msimu wa 2021-2022 Prisons ilinusurika pia kushuka daraja kupitia play-off dhidi ya JKT Tanzania kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1, baada ya kushinda ugenini…

Read More

Jangwani hapatoshi, Mbosso aipiga Aviola 

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la mataji matano, ikiwa ni hitimisho la msimu wa mafanikio kwa timu yao. Paredi hiyo ilianza mchana leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam,…

Read More

Yanga yatumia saa tano paredi barabarani

YANGA imetumia takribani saa tano kwenye paredi la ubingwa kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julisu Nyerere hadi kufika makao makuu ya timu hiyo, Jangwani. Kutoka uwanja wa ndege saa 7:20 mchana hadi kufika makao makuu ya timu hiyo imefika saa 11:52 jioni. Msafara huo umeongozwa na wachezaji wa timu hiyo wakiwangozwa na nahodha…

Read More

Hersi, Kamwe wageukia kivutio Yanga

Rais wa Yanga Hersi Said, ofisa habari wa klabu hiyo Ally Kamwe na kiungo mshambuliaji Clatous Chama wameibuka washehereshaji kwa kucheza juu ya gari lililobeba mataji ya klabu hiyo. Watatu hao wamesimama na kucheza nyimbo mbalimbali zilizopigwa ukiwemo Aviola baada ya gari hiyo kusimama zaidi ya nusu saa kutokana na foleni. Msafara wa Yanga ulitoka…

Read More

Karume yafunika, mashabiki wapagawa | Mwanaspoti

PAREDI la Yanga limeibua shangwe saa chache baada ya kuingia mtaa wa Karume shangwe na ongezeko la mashabiki wakiusindikiza msafara limetawala. Yanga imewasili Karume 16:00 na kusababisha msongamano wa watu barabarani huku magari yakishindwa kuendelea na safari. Gari hiyo iliyobeba wachezaji, viongozi na mataji ya timu hiyo msimu huu ilisimama kwa muda Karume na kuwapungia…

Read More

Hersi: Ugumu wa msimu umetufanya tufurahie

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema ugumu waliopitia msimu huu umewafanya leo kufurahia matunda. Hersi aliyasema hayo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 1, jijini Dar es Salaam wakitokea Zanzibar ambako Yanga ilishinda 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mechi yao ya fainali ya Kombe…

Read More