Rasmi Dube kuikosa fainali FA dhidi ya Singida BS

YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo. Mapema leo, Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi alisema bado hajawa na uhakika wa kumkosa mshambuliaji huyo, lakini sasa imethibitishwa rasmi kukosekana kwake. Katika mazoezi ya mwisho yaliyofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Aman, Dube hakuwa…

Read More

Rasmi Dube aikosa Singida BS

YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo. Mapema leo, Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi alisema bado hajawa na uhakika wa kumkosa mshambuliaji huyo, lakini sasa imethibitishwa rasmi kukosekana kwake. Katika mazoezi ya mwisho yaliyofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Aman, Dube hakuwa…

Read More

Arajiga apewa tena fainali FA Yanga vs Singida BS

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, limemteua Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Singida Black Stars. Arajiga ni mara ya pili mfululizo kuwa mwamuzi wa kati kwenye fainali ya michuano hii baada ya kuteuliwa msimu uliopita Yanga ilipoifunga Azam kwa penalti 6-5. Mbali na…

Read More

Fainali FA kwa Ouma, Hamdi ni zaidi ya mechi

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya mechi. Hiyo inatokana na yeyote atakayeshinda, ataweka rekodi katika maisha ya ufundishaji ambapo Hamdi anakutana na Singida,  timu iliyomtambulisha Desemba 2024 kuwa kocha wa timu hiyo, kisha akaibukia Yanga Februari…

Read More

Mgunda anyoosha maneno Bara | Mwanaspoti

BAADA ya kukwepa mtego wa kushuka Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema walikuwa na msimu mbaya, lakini wamegundua walipokosea na sasa wanajipanga kurudi imara 2025/26. Namungo imemaliza msimu ikiwa nafasi ya tisa baada ya kukusanya pointi 35, imeshinda mechi tisa, sare nane na kupoteza mechi 13 ikifunga mabao 28 na kuruhusu…

Read More

Straika aitosa Dodoma Jiji | Mwanaspoti

LICHA ya uongozi wa Dodoma Jiji kumuwekea mkataba mpya wa miaka miwili mshambuliaji wa kikosi hicho, Paul Peter Kasunda, ila nyota huyo ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku akiishukuru timu hiyo kwa nafasi iliyompa kuitumikia kwa misimu mitatu. Nyota huyo amewashukuru mashabiki, viongozi, benchi la ufundi na kila mmoja aliyemuamini, huku akijivunia mafanikio na changamoto…

Read More

Diao anateseka kwa Bacca, Job

MSHAMBULIAJI wa Azam, Alassane Diao amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara nyota waliompa wakati mgumu ni Ibrahim Bacca na Dickson Job. Raia huyo wa Senegal (22), ambaye ameichezea Azam misimu miwili mfululizo ameweka rekodi ya kufunga mabao matatu muda wote alioitumikia klabu hiyo amesema wachezaji hao ndio waliompa shida katika kukabiliana nao kwenye uwanja…

Read More

Dube azua hofu kambi ya Yanga fainali FA

LICHA ya kucheza mechi iliyopita ya Ligi dhidi ya Simba, lakini taarifa kutoka katika kambi ya Yanga zinabainisha mshambuliaji huyo hali yake sio nzuri. Dube aliyefunga mabao 13 katika Ligi Kuu Bara na mawili Kombe la FA, alipata majeraha ya nyama za paja Yanga ilipovaana na Tanzania Prisons uliochezwa Juni 18, 2025. Majeraha hayo yalimfanya…

Read More

Pamba Jiji yaendelea kusajili kimya kimya

BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza na mshambuliaji Umar Abba, huku ikimpa mkataba wa miaka mwili John Mbise aliyekuwa Geita Gold. Pamba Jiji iliyomaliza nafasi ya 11 katika Ligi Kuu Bara ikivuna pointi 34 imeanza kuboresha…

Read More