
Kijo kocha mpya Zanzibar Sand Heroes
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limemteua Kijo Nadir Nyoni kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Soka la Ufukweni. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Juni 27, 2025 na Ofisa Habari wa ZFF, Mohamed Kabwanga, imesema kocha huyo ana diploma C ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika(CAF) na alishawahi kupata mafunzo…