Geay, Dinday warejea kutoka Daegu Marathon
WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari 22,2026 na kubeba heshima ya taifa. Nyota hao wote wanatokea timu ya riadha ya Gabriel Geay inayofanya mazoezi katika kambi ya Madunga iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara. Geay ameendelea kuthibitisha ubora…