Pedro aachiwa zigo la Conte

KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kushuka uwanjani leo kuvaana na Fountain Gate, lakini mapema mabosi wameamua kumuachia msala kocha Pedro Goncavales kuhusu kiungo mkabaji, Moussa Balla Conte wakimtaka asake mbadala wake kupitia dirisha dogo. Mabosi wa Yanga ni kama hawajaridhishwa na uwezo wa Conte waliyemsajili kwa mbwembwe kutoka CS Sfaxien ya Tunisia na sasa wamemtaka Pedro…

Read More

Mayanga: Mechi mfululizo zimetuponza | Mwanaspoti

MASHUJAA imetoka sare ya pili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na Coastal Union na kukata wimbi la ushindi kwa timu hiyo na kocha Salum Mayanga amefichua kilichowaponza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Timu hiyo imecheza mechi nne mfululizo na kushinda mbili dhidi ya Namungo na Mbeya City…

Read More

Pedro awapa tano mastaa Yanga

MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves mwenyewe humwambii kitu kuhusu wachezaji. Kocha Pedro ameliambia Mwanaspoti, amekielewa kikosi cha timu hiyo na kwamba sasa ana imani kubwa na wachezaji namna wanavyoendelea kuimarika kwenye mechi ambazo amekuwa nao hadi sasa….

Read More

Simba kuna ujumbe wenu hapa

MSIMBAZI hali si shwari tangu ilipofanya Mkutano Mkuu wa mwaka Jumapili iliyopita na kisha timu hiyo kupoteza mechi ya pili mfululizo ya Kundi D ya Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Stade Malien ya Mali iliyomponza Dimitar Pantev kufutwa kazi, lakini sasa wamepewa ushauri wa bure. Pantev aliyeiongoza Simba katika mechi tano za mashindano tangu…

Read More

Dilunga atoboa siri JKT | Mwanaspoti

KIUNGO mkongwe wa Simba na Yanga, Hassan Dilunga ameweka siri inayomfanya kusalia ndani ya kikosi cha JKT Tanzania kwa muda mrefu, huku akimtaja kocha Hamad Ally. Mkongwe huyo huu ni msimu wa tatu ndani ya JKT, tangu alipoagana na Simba aliyoitumikia kwa miaka mitatu mfululizo baada ya kutoka Yanga. Dilunga alisema, licha ya kwamba anapokea…

Read More

Ibenge apiga hesabu kali Azam FC

AZAM FC kwa sasa vichwa viko chini wakiuguza maumivu ya kupoteza mechi mbili za kwanza za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini mashabiki wa klabu huenda wakatuliza presha kutokana na kauli iliyotolewa na kocha mkuu, Florent Ibenge akisema watulie kwa kuwa watafikia ubora wanaotakiwa kuwa nao. Azam inayoshiriki makundi ya CAF kwa mara ya…

Read More

Azam v Singida vita ya mbinu Ligi Kuu Bara

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi leo ana mtihani mgumu mbele ya Florent Ibenge anayeinoa Azam, wakati timu hizo zitakapocheza mechi ya Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar kuanzia saa 3:00 usiku, inazikutanisha timu zilizotoka kucheza mechi za Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Azam ambayo imepoteza…

Read More

Kiwango cha Diarra chamshtua kiungo Simba

YANGA inafurahia sare ya ugenini iliyoipata kule Algeria Ijumaa iliyopita katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B, lakini matokeo hayo yameitibua hali ya hewa JS Kabylie, huku kiungo wa zamani wa Simba, Babacar Sarr akifichua tatizo lilianzia kwa Djigui Diarra. Kiungo huyo aliyejiunga na Simba dirisha dogo la usajili msimu wa 2023-2024 na…

Read More

Mastaa mtegoni, Gamondi akiita 53 Taifa Stars

Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, uteuzi ambao hapana shaka utawaweka katika presha kubwa nyota wa baadhi ya nafasi. Wachezaji hao 53, watapaswa kupunguzwa hadi kubakia 28 ambao wanahitajika…

Read More