Geay, Dinday warejea kutoka Daegu Marathon

WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari 22,2026 na kubeba heshima ya taifa. Nyota hao wote wanatokea timu ya riadha ya Gabriel Geay inayofanya mazoezi katika kambi ya Madunga iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara. Geay ameendelea kuthibitisha ubora…

Read More

Mastaa Ligi Kuu Bara watabiri Dabi ya Kariakoo

MASHABIKI wa Yanga wanachekelea ushindi wa timu yao wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania, huku wenzao wa Simba wakinuna baada ya suluhu 0-0 mbele ya Dodoma Jiji, lakini baadhi ya wadau wamesema matokeo hayo hayatoi picha ya matokeo ya Dabi ya Kariakoo kutokana na ukweli mechi za watani huwa zina matokeo ya kushangaza. …

Read More

JKT TZ yaendelea rekodi mbovu

KIPIGO cha mabao 5-0, ilichokipata JKT Tanzania juzi kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, jijini, Dar es Salaam, katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya mabingwa watetezi Yanga, kimeifanya timu hiyo ya maafande kuandika rekodi mbili mbovu. Mabao hayo ya Yanga, yalifungwa na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ dakika ya 7, Laurindo Dilson Maria ‘Depu’ dakika ya…

Read More

Kundemba, Vuga ngoma droo Masauni & Seif Cup

TIMU za Kundemba na Vuga zimeanza kwa suluhu katika mechi ya uzinduzi wa michuano maalumu ya Masauni & Seif Cup iliyoanza juzi kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja, mjini Unguja, ikishirikisha jumla ya timu 20, huku Serikali ikiahidi kuwekeza zaidi michezoni. Klabu nyingine zinazoshiriki michuano hiyo kwa msimu huu ni; KISC FC, Ujamaa, Urusi, Misyuu, Aston…

Read More

Nsajigwa akiri ana kibarua kizito

SAA chache tangu awaage wachezaji aliofanya nao kazi Transit Camp, Kocha Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ amekiri ana kazi kibarua kikubwa cha kufanya kuhakikisha timu anayokabidhiwa inarudi kwenye ushindani. Nsajigwa, amekabidhiwa kuinoa Tanzania Prisons akichukua mikoba ya Zedekiah Otieno ambaye tayari wamefikia makubalianao ya pande mbili kusitisha mkataba wake akiwa ameiongoza timu hiyo kwenye mechi 14. Akizungumza…

Read More

Josiah atambia rekodi mpya Dodoma

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amesema suluhu (0-0), iliyoipata timu hiyo juzi dhidi ya Simba ni kutokana na wachezaji wa kikosi hicho cha ‘walima Zabibu’, kufuata vyema maelekezo yake ya kucheza kwa nidhamu kubwa na kwa heshima. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, alisema haikuwa mechi rahisi kutokana na jinsi wapinzani wao walivyokuwa wanacheza, ingawa…

Read More

Fountain, Namungo Ligi Kuu ya NBC, mechi ya mipango

WAKATI leo Alhamisi Fountain Gate na Namungo zikiwa viwanja tofauti kusaka pointi Ligi Kuu Bara, unaweza kusema  hali ni tete kwa timu hizo ndani ya raundi tano zilizopita sawa na dakika 450 zimeshindwa kuibuka na ushindi. Katika mechi tano zilizopita, Yanga ndiyo iliyokusanya pointi nyingi zaidi ambazo ni 15 (kabla ya mechi ya jana) dhidi…

Read More