NYOTA wa Kitanzania, Haji Mnoga na klabu yake ya Salford City wataanza msimu wa 2025/26 kwa kushiriki mashindano ya Carabao Cup yanayotarajiwa kuanza Agosti mwaka
Category: Michezo

SIKU chache baada ya kucheza mechi ya mwisho kwa msimu huu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga, kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amewasapraizi

SIKU chache baada ya kucheza mechi ya mwisho kwa msimu huu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga, kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amewasapraizi

KLABU ya Tabora United, iko katika mazungumzo na beki wa kushoto wa Bibiani Gold Stars, William Ntori Dankyi baada ya kuvutiwa na uwezo mkubwa wa

SIKU chache tangu washindwe kuhimili kishindo cha Yanga na kukubali kichapo cha mabao 2-0 wakifunga msimu wa 2024-2025 bila taji, mastaa wa Simba akiwamo Elli

ZANZIBAR: IMEPITA takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga. Safari hii

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Makadi FC ya Misri, Oscar Evalisto amesema bado hajasaini mkataba mpya kwenye klabu hiyo, akisubiri ofa kutoka timu nyingine. Evalisto alimaliza

Dar es Salaam/Mikoani. Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Gibrill Sillah amewaaga mashabiki na uongozi wa timu hiyo leo kupitia ukurasa wake wa Instagram. Mgambia huyo aliyeitumikia Azam kwa

YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo. Mapema leo, Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud