Pedro aachiwa zigo la Conte
KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kushuka uwanjani leo kuvaana na Fountain Gate, lakini mapema mabosi wameamua kumuachia msala kocha Pedro Goncavales kuhusu kiungo mkabaji, Moussa Balla Conte wakimtaka asake mbadala wake kupitia dirisha dogo. Mabosi wa Yanga ni kama hawajaridhishwa na uwezo wa Conte waliyemsajili kwa mbwembwe kutoka CS Sfaxien ya Tunisia na sasa wamemtaka Pedro…