
Mgaza miwili tena Dodoma Jiji
MABOSI wa Dodoma Jiji, wamemalizana na mshambuliaji wao, Yassin Mgaza kwa kumuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa 2026-2027. Mshambuliaji huyo alijiunga na Dodoma jiji Julai 2023 akitokea KMKM ya Zanzibar, ambapo alisaini mkataba wa miaka miwili ambao umefikia ukingoni msimu huu. Umuhimu wake kikosini hapo umempa ulaji mpya. Chanzo cha kuaminika…