Karibu Ibenge tutakupima kimataifa | Mwanaspoti

MATAJIRI wa Azam FC wamecharuka kweli na kijiweni hapa tumepata habari za uhakika kutika viunga vya Azam Complex kule Chamazi kuwa kocha mpya ajaye ni Mkongomani Florent Ibenge. Baada ya kuiongoza Azam kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi, kocha mwandamizi Rachid Taoussi atapewa mkono wa kwaheri kumpisha Ibenge anayetokea Al Hilal ya…

Read More

Ahly, Wydad zimevuna zilichopanda Kombe la Dunia

MAMBO yameonekana kuwa magumu sana kwa wawakilishi wa Afrika katika Fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea huko Marekani. Kilichotusikitisha zaidi hapa kijiweni ni Wydad Casablanca na Al Ahly kuaga mashindano hayo bila kupata ushindi angalau katika mechi moja jambo ambalo wengi hatukulitegemea kabla mashindano hayo hayajaanza. Ilipaswa hata kama hazikuwa vizuri basi angalau…

Read More

Mangungu, Hersi bungeni wasitusahau | Mwanaspoti

KUNA roho fulani inaniambia kuwa viongozi wawili wa juu wa klabu za Simba na Yanga watajitosa kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na Rais wa klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said. Kwa namna ambavyo hawa watu wamepata mafanikio katika…

Read More

 Karibu Ibenge tutakupima kimataifa | Mwanaspoti

MATAJIRI wa Azam FC wamecharuka kweli na kijiweni hapa tumepata habari za uhakika kutika viunga vya Azam Complex kule Chamazi kuwa kocha mpya ajaye ni Mkongomani Florent Ibenge. Baada ya kuiongoza Azam kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi, kocha mwandamizi Rachid Taoussi atapewa mkono wa kwaheri kumpisha Ibenge anayetokea Al Hilal ya…

Read More

Simba yamnyatia beki wa Al Hilal

KIPIGO ilichopokea Simba kutoka kwa Yanga kwenye Dabi ya Kariakoo, kimewaumiza mashabiki wa timu hiyo ambao wanaamini msimu ujao watarudi wakiwa imara zaidi huku wakitaka maboresho ya kikosi yaendelee kufanyika. Ombi hilo la mashabiki limesikiwa na viongozi wa Simba ambao wameanza mchakato wa kuboresha kikosi kwa kufanya mazungumzo na beki kushoto wa klabu ya Al…

Read More

Fei Toto, Yanga kimeeleweka | Mwanaspoti

KUNA furaha inaendelea Jangwani yalipo Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, hiyo ni baada ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo na ya 31 kihistoria. Wakati furaha hiyo ikishamiri, kuna jambo lingine limeibuka ambalo linanogesha kile kinachoendelea katika klabu hiyo, hili linahusu usajili. …

Read More

Yanga yatetea ubingwa Ligi Kuu ikiichapa Simba

Pacome Zouzoua na Clement Mzize wamekuwa mashujaa wa Yanga leo hii baada ya kuiongoza timu yao kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yaliyoihakikisha timu hiyo ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu. Matokeo hayo yameifanya Yanga imalize ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi na pointi 82 huku Simba…

Read More

YANGA SC MABINGWA NBCPL 2024-2025

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeibuka mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara (NBCPL) baada ya kufanikiwa kushinda mechi yao ya kiporo dhidi ya mahasimu wao Simba Sc ambao nao walihitaji ushindi kwenye mchezo huo ili waweze kuwa mabingwa. Katika mchezo huo ambao ulikuwa vute ni kuvute, Yanga iliweza kuukamata mchezo katika…

Read More