Simba yamnyatia beki wa Al Hilal

KIPIGO ilichopokea Simba kutoka kwa Yanga kwenye Dabi ya Kariakoo, kimewaumiza mashabiki wa timu hiyo ambao wanaamini msimu ujao watarudi wakiwa imara zaidi huku wakitaka maboresho ya kikosi yaendelee kufanyika. Ombi hilo la mashabiki limesikiwa na viongozi wa Simba ambao wameanza mchakato wa kuboresha kikosi kwa kufanya mazungumzo na beki kushoto wa klabu ya Al…

Read More

Fei Toto, Yanga kimeeleweka | Mwanaspoti

KUNA furaha inaendelea Jangwani yalipo Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, hiyo ni baada ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo na ya 31 kihistoria. Wakati furaha hiyo ikishamiri, kuna jambo lingine limeibuka ambalo linanogesha kile kinachoendelea katika klabu hiyo, hili linahusu usajili. …

Read More

Yanga yatetea ubingwa Ligi Kuu ikiichapa Simba

Pacome Zouzoua na Clement Mzize wamekuwa mashujaa wa Yanga leo hii baada ya kuiongoza timu yao kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yaliyoihakikisha timu hiyo ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu. Matokeo hayo yameifanya Yanga imalize ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi na pointi 82 huku Simba…

Read More

YANGA SC MABINGWA NBCPL 2024-2025

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeibuka mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara (NBCPL) baada ya kufanikiwa kushinda mechi yao ya kiporo dhidi ya mahasimu wao Simba Sc ambao nao walihitaji ushindi kwenye mchezo huo ili waweze kuwa mabingwa. Katika mchezo huo ambao ulikuwa vute ni kuvute, Yanga iliweza kuukamata mchezo katika…

Read More

Job, Diarra watwisha mabomu Yanga

NAHODHA wa Yanga, Dickson Job na kipa wa timu hiyo, Djigui Diarra wametishwa mabomu ya kikosi hicho baada ya kutangulia kuingia ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa kupasha misuli moto yaani ‘Warm-Up’. Hiyo ni kuelekea pambano la Dabi ya Kariakoo linalotarajiwa kupigwa leo Saa 11:00 jioni, ambapo ilishuhudiwa nyota hao wakitoka wenyewe wawili…

Read More

Diarra gumzo Yanga ikikagua uwanja, Simba yakausha

KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra ameibua gumzo muda mchache baada ya kikosi hicho kuingia kukagua Uwanja wa Benjamini Mkapa ambao unatarajiwa kupigwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya watani zao Simba. Wakati wachezaji wenzake wakiwa ndani ya uwanja, yeye alikuwa anazunguka nje ya eneo la kuchezea na kuchezea nyavu za goli la…

Read More

Kwa Mkapa kweupeee | Mwanaspoti

UWANJA wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam ambao utatumika kuchezewa mechi ya dabi kati ya Yanga na Simba uko mweupe kwenye baadhi ya majukwaa. Saa 11 kamili jioni itachezwa mechi ya dabi ya Kariakoo kati ya mwenyeji wa mchezo huo Yanga na Simba ambao utahitimisha msimu wa 2024/25. Lakini zikiwa zimesalia saa chache kabla ya…

Read More

Simba yaitangulia Yanga Kwa Mkapa

KIKOSI cha Simba kimekuwa cha kwanza kuwasili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwatangulia wenyeji, Yanga kwa dakika mbili na kuliamsha shangwe kwa mashabiki wa timu hizo walianza kuujaza uwanja huo. Msafara wa Simba umefika uwanjani hapo saa 9:26 alasiri ikiwa kwenye basi lao kubwa, huku mbele kukiwa na ya askari polisi. Wakati Simba ikifika uwanjani…

Read More