Kisa Simba, Yanga wataka mageti yafungwe

MASHABIKI wa Yanga wakorofi sana, hebu soma hii. Wakati Simba ikimaliza kuingia geti kubwa la Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuna kituko watani wao wakakifanya hata polisi imebidi wacheke. Wakati Simba ikiingia tu, mashabiki wa Yanga wakashangilia kwa nguvu, kisha wakaanza kuwapigia kelele askari wa getini wakiwataka kufunga geti. Mashabiki hao wametoa kauli hiyo wakisema hawataki…

Read More

Simba yaingilia Kwa Mkapa mlango sio

KIKOSI cha Simba kimekuwa cha kwanza kuwasili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika pambano la timu hiyo dhidi ya watani zao Yanga huku ikitumia mlango usiokuwa rasmi wa kubadilishia nguo (Dressing Room). Mechi hiyo ya Dabi ya Kariakoo kati ya timu hizo inayotarajiwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni, imeshuhudia msafari wa Simba ukiwasili mapema Saa…

Read More

Rasmi Simba kuikabili Yanga Kwa Mkapa

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Yanga itakuwa mwenyeji. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Simba imeweka tangazo la mechi hiyo na kuandika ‘Tutakuwepo’. …

Read More

Kwa Mkapa ulinzi wake si mchezo

LICHA ya kutokuwa na vaibe kubwa la mashabiki kwa sasa, lakini hali ya usalama kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwa pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga ni ya aina yake kutokana na polisi kuwa kila kona kuhakikisha hakutokei vurugu za aina yoyote. Kiporo hicho cha Ligi Kuu cha kufungia msimu kinapigwa kuanzia…

Read More

JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar 

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24, 2025 jioni kwenye Uwanja Mao B, mjini Unguja, JKU Princess imejitengenezea rekodi ya kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja wa ligi hiyo. Katika mchezo huo, JKU Queens ilionekana kutawala zaidi…

Read More

Kwa Mkapa kumepoa | Mwanaspoti

IKIWA imesalia saa mbili tu kabla ya pambano kla Dabi ya Kariakoo lipigwe ikizikutanisha Simba na Yanga kuchezwa, lakini hali ya nje ya Uwanja wa Benjamin Mkapa imepoa bado tofauti na inavyokuwa pambano la timu hizo. Mchezo huo namba 184 wa kukamilisha msimu wa 2024-2025 unapigwa leo kuanzia saa 11:00 jioni baada ya kuahirishwa mara…

Read More

ZNZ | Mwanaspoti

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24, 2025 jioni kwenye Uwanja Mao B, mjini Unguja, JKU Princess imejitengenezea rekodi ya kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja wa ligi hiyo. Katika mchezo huo, JKU Queens ilionekana kutawala zaidi…

Read More

FYATU MFYATUZI: Tunaongopewa na kuongopeana

Kuna mambo yanachusha, kukera, kutisha, kukatisha tamaa, na kusikitisha ingawa mafyatu hawatishiki japo watishwa. Tuweke sawa. Leo, nitafyatua baadhi ya mambo tufanyayo au kufanyiwa mafyatu. Mafyatu gani wasiofyatuka wakafyatua wanaowafyatua tena kirejareja kama ufjujaji na upigaje wa njuluku ndefu? Hatufyati tunapopaswa kufyatuka tukafyatua? Kuna mambo yanapaswa kudurusiwa kwa utuo ili yafanyiwe kazi lau mafyatu wanusurike…

Read More

Kocha JKT Tanzania awapa shavu wazawa

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema kwa upande wake msimu wa 2024-25 kwa asilimia kubwa ameyaona mabadiliko kwa wachezaji wazawa kitabia na mtazamo, jambo analoamini litakwenda kuwapa manufaa. JKT Tanzania iliyomaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara 2024-2025, kikosi chake kimeundwa na wachezaji wazawa pekee. “Wengi wao wana data kubwa, wamekuwa…

Read More

Wachezaji Tanzania Prisons wakuna vichwa

WACHEZAJI wa Tanzania Prisons, wamesema baada ya kucheza mechi 30 za Ligi Kuu Bara msimu huu, kwao haijaisha hadi iishe michezo ya mtoano ‘playoff’ ambayo imeshikilia hatma ya kuwepo kwenye ligi hiyo kwa msimu ujao huku wakiweka mikakati ya ushindi. Tanzania Prisons iliyomaliza ligi nafasi ya 13 na pointi 31, itacheza dhidi ya Fountain Gate…

Read More