Ile Dabi ya Kariakoo ndo leo!

BAADA ya danadana nyingi za mchezo wa Dabi ya Kariakoo, hatimaye ile siku ndio leo Jumatano na Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, mbivu na mbichi zitafahamika baada ya kipyenga cha mwisho kupulizwa na mwamuzi raia wa Misri, Amin Mohamed Amin Omar. Ni mchezo namba 184 ambao tarehe yake iliahirishwa mara mbili, awali…

Read More

Simba inavyousaka ufalme 2024/25 | Mwanaspoti

KATIKA historia ya soka la Tanzania, Simba ni miongoni mwa klabu zenye mafanikio makubwa na mvuto wa mashabiki, huku ikiwa na upinzani wa jadi na Yanga. Baada ya msimu wa 2023/2024 kumalizika kwa majonzi huku Simba ikimaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara nyuma ya Yanga na Azam, wengi walidhani huenda zama…

Read More

Kinachoibeba Yanga Kariakoo Dabi | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga haipo mbali kufukuzia taji hilo kwa mara ya nne mfululizo ambapo licha ya changamoto mbalimbali ilizopitia, kikosi hicho bado kipo njia kuu kikitaka kulinda heshima. Hadi tunapokwenda kushuhudia mchezo wa Dabi ya Kariakoo utakaochezwa leo kati ya Yanga dhidi ya Simba, Yanga ndio vinara wa ligi ikiongoza kwa…

Read More

WATANZANIA MATABAKA YOTE WATAKIWA KUUNGANA KUWA WAHIFADHI ILI KUTUNZA MAZINGIRA

Watanzania maarufu na wasio maarufu waliungana jijini Dar es Salaam Jumanne kusisitiza faida muhimu za mazingira na umuhimu wa juhudi za pamoja za uhifadhi. Tukio hilo lilisisitiza kwamba bila kujali sisi ni nani au tunatoka wapi, sote tunahusiana na mazingira na ni wajibu wetu kuyatunza. Mwimbaji na mtangazaji wa Televisheni Nakaaya Sumari, waimbaji wawili maarufu…

Read More

Makomandoo Yanga, Simba  mita mia kwa Mkapa 

Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika Uwanja wa  Benjamin Mkapa, huku makomandoo wa klabu za Yanga na Simba na  wakilazimika kukaa umbali wa mita mia kutoka katika mageti ya uwanja huo. Yanga na Simba zitamalizana kesho kwenye uwanja huo kwenye mchezo wa kiporo namba 184 wa Ligi Kuu Bara, unaotarajiwa kupigwa kuanzia saa 11 jioni….

Read More

Wanaowania uongozi TFF waanikwa, sita wautaka urais

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya awali ya waliochukua na kurudisha fomu kuomba uongozi katika Shirikisho hilo kwa ajili ya usaili utakaofanyika Julai 2 na 3, 2025 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo Juni 24, 2025 na Makamu Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi TFF, Wakili Benjamin Kalume, imetaja wagombea…

Read More

Tuwaombee… Dabi imeshika hatma zao

JUNI 25 kinapigwa Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao ulipiga kalenda, lakini sasa hakuna kipengele tena ni lazima kiwake. Mchezo huo weka mbali mambo ya ugumu ulionao, lakini safari hii unakwenda kutoa picha halisi kwamba nani atakuwa bingwa wa msimu huu. …

Read More

Maureen Sizya apika watu Sauzi

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika Kusini na Gabon kufundisha umahiri wa mchezo huo. Akizungumza na Mwanasposti baada kurejea nchini juzi, Maureen alisema BAL4HER ni mpango unaolenga kuibua, kuendeleza na kuwawezesha wanawake wa Kiafrika katika nyanja…

Read More

Yanga yashusha kiungo, yamficha kambini

YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu. Kiungo huyo mchezeshaji ambaye yupo kambi ya Yanga ni Mohamed Doumbia raia wa Ivory Coast ambaye anaendelea kujifua na wenzake. Taarifa kutoka Yanga ambazo Mwanaspoti limejiridhisha ni, Doumbia ana wiki moja…

Read More

Kikoti yeye na Coastal Union

KIUNGO Lucas Kikoti ameweka wazi kuwa, licha ya mkataba wake kumalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu, moyo wake bado uko Coastal Union na hiyo ndiyo sababu anataka kuipa kipaumbele klabu hiyo kabla hajafanya uamuzi mwingine kuhusu mustakabali wake. Kikoti amesema anathamini kipindi alichokaa ndani ya kikosi cha Wagosi wa Kaya, haoni sababu ya kuwahi kufanya…

Read More