Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo la kuleta vurugu na udhalilishaji. Mchezo huo namba 184 wa raundi ya pili wa Ligi Kuu ambao awali ulipangwa kuchezwa Machi 8, 2025, uliahirishwa baada ya…

Read More

Ntibonela Bukeng aongoza tena kutupia BDL

NYOTA wa kikapu wa Savio, Mkongomani Ntibonela Bukeng anaendelea kuongoza kwa ufungaji katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), akiwa keshatupia nyavuni pointi 213. Idadi hiyo ya alama alizotupia mchezaji huyo ni kiashiria kwamba anakimbiza kwa kasi tuzo ya utupiaji katika mashindano hayo kwani wiki tatu zilizopita Bukenge aliongoza kwa pointi 124…

Read More

Simba kutozwa faini kukacha kikao

KUELEKEA mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Simba imeshindwa kutokea katika mkutano wa pili wa maandalizi ya mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hivyo itapigwa faini ya Sh500,000. Mapema leo asubuhi Simba imeshindwa kutokea kwenye mkutano wa makocha na wanahabari uliofanyika makao makuu mdhamini wa ligi hiyo huku Yanga ikitokea….

Read More

Mkongomani kumchomoa Diao Azam FC

UONGOZI wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa AC Rangers ya Congo, Enock Lihonzasia. Azam FC ikiwa na mpango wa kunasa saini hiyo, inaelezwa anakwenda kuchukua nafasi ya Alassane Diao ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Azam FC kimeliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Bwalya mambo safi Pamba Jiji

UONGOZI wa Pamba Jiji umefanikisha kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia, Rally Bwalya, baada ya mwanzo mwa msimu huu dili la nyota huyo kukwama katika dakika za jioni na kushindwa kukichezea kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti kuwa Bwalya ameshasaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele…

Read More

Kisa dabi, kikao kizito Yanga

WABABE wa soka la Bongo, Simba na Yanga wanakutana kesho katika mechi ya Dabi ya Kariakoo ambayo imetawaliwa na mambo kibao na ambayo imekuwa ikitembea kwa muda mrefu na kaulimbiu moja kwa muda mrefu kabla ya kuamriwa kwamba itapigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kabla ya dabi hiyo ambayo inahitimisha rasmi msimu…

Read More

Miloud: Tupo siriazi, tunataka ushindi

Kocha wa Yanga, Hamdi Miloud amesema kesho timu yake ipo tayari kwa mechi hiyo kubwa na kwamba wako siriazi ili kushinda mchezo huo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kabla ya mechi, Miloud amesema timu yake baada ya kuahirishwa mara mbili kwa mchezo huo haikutoka mchezoni kwani waliendelea na maandalizi. Mchezo huo wa…

Read More

Yanga yaibuka mkutanoni, Simba yasikilizia

Wakati mechi ya Dabi ya Kariakoo ikitarajiwa kupigwa kesho, Yanga imefanya mkutano na waandishi wa habari, huku Simba iliyotakiwa kufika kwenye mkutano haikutokea. Simba itakuwa mgeni wa Yanga kwenye mchezo huo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 jioni. Kabla ya mchezo huo timu…

Read More