Rekodi tatu mwamuzi Dabi ya Kariakoo

MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umeingia kwenye historia mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwashusha waamuzi kutoka Misri na Somalia, huku rekodi za mwamuzi wa kati zikiwa tishio. Taarifa iliyotolewa na TPLB jana ni, mchezo huo utaamuliwa na Amin Omar atakayekuwa mwamuzi wa kati, akisaidiwa na Mahmoud El Regal, Samir Mohamed, huku…

Read More

Dakika 45 za moto kwa Seleman Mwalimu

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya Juventus ya Italia, huku akikiri ni heshima kubwa kwake licha ya kupoteza. Mtanzania huyo aliyejiunga na Wydad Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, aliingia kipindi cha pili…

Read More

Waliopoteza tiketi uhakika Kwa Mkapa

KIONGOZI wa N-Card Catherine Chami amewapa uhakika mashabiki waliopoteza tiketi zao ambazo walizikata kwa ajili ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba iliyotakiwa kuchezwa Machi 8, 2025 bado wana nafasi ya kuingia uwanjani Benjamin Mkapa katika tarehe mpya iliyopangwa ya mechi hiyo Juni 25. Akizungumza na waandishi wa habari alisema kuwa,…

Read More

Asaka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akipiga danadana

WAKATI wengine hupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutembea kawaida, staa wa danadana kutoka Sweden, Emil Jylhänlahti, ameanza safari ya kuupanda mlima huo maarufu duniani huku akichezea mpira kwa danadana. Staa huyo wa dunia anayetikisa dunia, Emil Jylhanlahti, sasa amepewa majukumu mapya kuwa mkuu wa programu ya soka kwa watoto wa Norrby IF nchini Sweden. Nyota huyo…

Read More

Singida Black Stars yaanza na mashine hii

UNAMKUMBUKA kiungo mshambuliaji Raouf Bao ambaye alionyesha kiwango bora katika mashindano ya Mapinduzi Cup 2025 yaliyofanyika Zanzibar akiwa na kikosi cha timu ya taifa Burkina Faso? Sasa inaelezwa nyota huyo wa AS Sonabel ya Ouagadougou yupo katika mazungumzo ya kina na klabu ya Singida Black Stars, ili kutua kwa msimu ujao wa mashindano. Singida ambayo…

Read More

Yusuph Athuman arudi bongo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Yusuph Athuman aliyekuwa anakipiga Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu ya Myanmar amesema amerejea nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo nchini humo. Athuman alijiunga na timu hiyo Aprili mwaka huu akitokea Tanzania Prisons, aliyokuwa anaitumikia kwa mkopo akitokea Fountain Gate, ambayo hakuwahi kuichezea mchezo hata mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Athuman alisema amerejea nchini…

Read More