Hesabu za Tabora United zipo kwa kipa Mghana

MABOSI wa Tabora United wameanza harakati za kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao ili kuongeza ushindani katika michuano mbalimbali na wanampigia hesabu kipa, Fredrick Asare anayeichezea Asante Kotoko ya Ghana. Taarifa kutoka katika timu hiyo ya ‘Nyuki wa Tabora’, zinaeleza mabosi wa kikosi hicho wanampigia hesabu kipa huyo raia wa Ghana, kwa…

Read More

Mgunda ashikilia hatma ya Kagere

HATMA ya mshambuliaji mkongwe wa Namungo, Meddie Kagere ‘MK14’ kuendelea kuwepo katika kikosi hicho kwa msimu ujao ipo kwa kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda baada ya nyota huyo aliyefanya makubwa kwenye soka la Tanzania, mkataba alionao kumalizika. Kagere anayeshikilia rekodi ya kuwa mchezaji pekee aliyetwaa Tuzo ya Mfungaji Bora na kuitetea katika Ligi Kuu…

Read More

Shafii Lumambo anasikilizia Uturuki | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Kitanzania anayekipiga Beykoz Anadolu Spor ya Uturuki, Shafii Omary Lumambo amesema bado hajasaini mkataba mpya na chama hilo, zikiwa zimesalia siku chache kumaliza mkataba wa awali unaotamatika Juni 30. Nyota huyo alisema timu hiyo, ambayo awali ilikuwa inaitwa Tuzlaspor, iliuzwa na kununuliwa na chama la sasa, hivyo bado hajafahamu hatma yake kama…

Read More

Hamdi awataja Chama, Pacome | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi, kwa sasa ameanza hesabu kwa ajili ya Dabi ya Kariakoo, huku akiwataja viungo washambuliaji wa timu hiyo ambao wameifanya Yanga kuwa imara hadi sasa licha ya kuondokewa na Stephane Aziz KI aliyepo Wydad Casablanca ya Morocco. Kocha huyo aliyetua katikati ya msimu akitokea Singida Black Stars ili kuchukua nafasi…

Read More

Kisa Simba, Dube aongezewa dozi

YANGA imemalizana na Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara na sasa inajiandaa kwa mechi ijayo ya kufungia msimu dhidi ya Simba inayopigwa keshokutwa Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo ya Dabi ya Kariakoo iliyoahirishwa mara mbili kutoka Machi 8 na Juni 15, imepangwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Kombe litakuwa…

Read More

Yanga ishindwe yenyewe! | Mwanaspoti

KATIKA maboresho ya kikosi cha Yanga kwa ajuili ya msimu ujao wa 2025-2026, Yanga imepanga kufanya usajili wa kuziba maeneo machache ikiwemo eneo la beki wa kati. Kwa sasa eneo hilo lina vitasa wa maana, Ibrahim Bacca, Dickson Job na nahodha, Bakar Mwamnyeto, lakini benchi la ufundi limepiga hesabu ya kuongeza kifaa kingine kipya ili…

Read More

Yanga yaendelea kugawa dozi nzito

WATETEZI wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza ubabe ikisaka taji la msimu wa nne mfululizo kwa kuifumua Dodoma Jiji kwa mabao 5-0, ikiwa ni mechi ya 10 kushinda katika ligi hiyo ikisaliwa na mechi moja ya kufungia msimu dhidi ya watani wao wa Jadi, Simba ilishinda pia 1-0 jioni hii. Yanga ilipata ushindi huo uliokuwa…

Read More

Matteo, Adam wakiri mambo magumu

BAADHI ya washambuliaji wa Ligi Kuu Bara, Adam Adam wa Tanzania Prisons, Matteo Antony wa JKT Tanzania na Tariq Seif wa Kagera Sugar, wamekiri msimu huu haukuwa mzuri kwa upande wao. Adam ambaye msimu uliyopita akiwa na Mashujaa alimaliza na mabao saba, jambo lililoishawishi Azam kumrejesha kikosini kabla ya kumtoa kwa mkopo Prisons ambako kabla…

Read More

Moussa Camara kipa bora 2024/25

Nyota wa Simba, Moussa Camara ameibuka kipa bora wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kufikisha ‘Clean Sheets’ 19, ikiwa ni msimu wake wa kwanza hapa nchini tangu ajiunge na kikosi hicho akitokea Horoya AC ya kwao Guinea. Camara ameibuka kipa bora baada ya mshindani wake mkubwa, Djigui Diarra wa Yanga kukosekana…

Read More

Mgogoro wa Iran, Israel wamkwamisha Wazir Jr Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a, Wazir Jr Shentembo amesema mgogoro kati ya Iran na Israel umesitisha safari za ndege kwa timu kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga msimu wa 2020/21, alijiunga na timu hiyo iliyopo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi yenye timu 20, kwa mkataba wa miezi sita mwanzoni…

Read More