Mgogoro wa Iran, Israel wamkwamisha Wazir Jr Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a, Wazir Jr Shentembo amesema mgogoro kati ya Iran na Israel umesitisha safari za ndege kwa timu kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga msimu wa 2020/21, alijiunga na timu hiyo iliyopo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi yenye timu 20, kwa mkataba wa miezi sita mwanzoni…

Read More

Lwasa mguu ndani, nje Kagera

NYOTA wa Kagera Sugar, Peter Lwasa mapema tu ana ofa mezani zinazomfanya kutokuwa na uhakika wa kuendelea kuitumikia timu hiyo kwa msimu ujao itakaposhiriki Ligi ya Championship. Lwasa raia wa Uganda, anaongoza kwa mabao katika kikosi cha Kagera Sugar na amefunga manane msimu huu kwenye Ligi Kuu Bara, huku timu hiyo ikiwa imeshuka daraja na…

Read More

JKT Tanzania yafuata kiungo Fountain Gate

UONGOZI wa JKT Tanzania upo kwenye mazungumzo na kiungo wa Fountain Gate, Daniel Joram kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. JKT Tanzania tayari imejihakikishia nafasi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kukusanya pointi 35 ikiwa nafasi ya sita kwenye msimamo baada ya kucheza michezo 29, imeshinda minane, sare 11 na…

Read More

Zubaa uchekwe! | Mwanaspoti

UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi zitafahamika. Katika muda huo kuna baadhi ya timu na wachezaji binafsi wanafukuzia jambo ambapo katika kipindi hiki cha mwishoni mwa ligi, ukizubaa utachekwa wakati…

Read More

Opah Clement kurudi Ligi Kuu China

BEIJING Beikong inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake China iko kwenye mpango wa kumsajili nyota wa zamani wa Simba, Opah Clement. Hivi karibuni, Opah aliachana na FC Juarez ya Mexico baada ya kuhudumu kikosini hapo msimu mmoja akitokea Henan Jianye ya China. Chanzo kiliambia Mwanaspoti Beijing inataka kuweka ofa nzuri kumnasa mshambuliaji huyo kwa ajili ya…

Read More

KMKM mabingwa wapya Kombe la FA Zanzibar

TIMU ya KMKM imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA) baada ya kuichakaza Chipukizi mabao 4-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Juni 21, 2025 kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo Mjini Unguja. Kipigo hicho kimeifanya Chipukizi kutoka kisiwani Pemba kushindwa kutetea taji lake usiku wa leo na kukosa fursa ya kuiwakilisha Zanzibar kimataifa msimu…

Read More

Mchujo kupita Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars ambayo msimu ujao itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika, imepanga kufanya mchujo mkali kwa wachezaji iliowatoa kwa mkopo ili kufanya uamuzi wa kuendelea nao au kuwaacha. Taarifa kutoka katika klabu hiyo iliyo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, zinabainisha kikosi hicho kina wachezaji zaidi ya 10 waliotolewa kwa mkopo katika…

Read More

Wagombea 25 wajitosa uchaguzi TFF

BAADA ya uchukuaji na urudishaji wa fomu kutamatika jana Juni 20, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Kiomoni Kibamba amesema wagombea sita wa urais wamezirudisha, huku wajumbe wa Kamati ya Utendaji ikiwa ni 19. Uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi za uongozi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa…

Read More

Makocha 29 wapigwa msasa Arusha

Makocha 29 wamemaliza kozi ya awali ya ukocha wa soka maarufu kama Fifa Grassroots Football Coaching Course kwa ajili ya kufundisha vijana na watoto. Mafunzo hayo yamefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Royal eneo la Sinoni Unga Ltd na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid yakiandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na…

Read More