Simbu, Geay kukiwasha Mampando Festival

Msimu wa nne wa tamasha la Mampando unatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanza Juni 23, huku wanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu na Gabriel Geay wakiwa miongoni mwa nyota ambao watakaokuwepo kulinogesha. Tamasha hilo litafanyika katika kijiji cha Mampando kilichopo wilayani Ikungi mkoani Singida lengo ikiwa ni kuibua na kuendelea vipaji vya vijana kupitia…

Read More

Saliboko amekubali unyonge KMC | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruweshi Saliboko amesema japo hakuwa na msimu mzuri kiushindani haujapita kapa badala yake amepata mafunzo yatakayomsaidia ujao kufanya vizuri katika kuweka rekodi za heshima. Saliboko aliyewahi kung’ara msimu wa 2019/20 akifunga mabao 12 akiwa na Lipuli ya mjini Iringa, alisema kitendo cha msimu huu kupitia changamoto ya majeraha kilimfunza kujua namna ya…

Read More

Ouma hesabu kali taji la Shirikisho

LICHA ya kuwa na mechi ya kufungia msimu inayopigwa kesho dhidi ya Tanzania Prisons, benchi la ufundi la Singida Black Stars limesema litawekeza nguvu na akili katika pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya watetezi, Yanga ili kufunga msimu kwa heshima. Mechi hiyo ya fainali inatarajiwa kupigwa Jumapili ya Juni 29 kwenye…

Read More

Yacouba aamua kukimbilia FIFA | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yacouba Songne amesema amepeleka malalamiko Fifa, baada ya kutolipwa mshahara wa miezi minne na kutomaliziwa ada ya usajili. Yacouba ambaye alisaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora msimu huu, alipata majeraha katikati ya msimu jambo lililomfanya kukosa mechi nyingi. Akizungumza na Mwanaspoti, nyota huyo alisema…

Read More

Sillah achekelea mabao 11 Bara

NDOTO ya mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah kumaliza msimu akifunga mabao yasiyopungua 10 imetimia, na akasema ni kitu ambacho kimemuongezea thamani kwenye wasifu kucheza soka Tanzania. Nyota huyo raia wa Gambia anayeitumikia Azam kwa msimu wa pili, mapema alinukuliwa na Mwanaspoti kwamba anatamani kufunga mabao 10 ili kuvuka rekodi ya msimu uliopita aliomaliza na…

Read More

Ahoua, Mpanzu wapewa kazi maalum Simba

KIKOSI cha Simba kinaendelea na maandalizi ya mwisho ya kuvaana na Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu ya kutimiza raundi ya 30, kisha kujipanga kwa pambano la Dabi ya Kariakoo, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akiwageukia nyota wa kikosi hicho na kuwapa kazi maalumu. Fadlu anayetua Msimbazi msimu huu akitokea Raja…

Read More

Yanga yatua Arabuni | Mwanaspoti

MABOSI wa kikosi cha Yanga wajanja sana, kwani wakati timu hiyo ikijiandaa na mechi mbili z kufungia msimu za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho (FA), lakini wenyewe wapo bize kuhakikisha wanaanza kusuka skwadi mpya kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano. Katika kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, tayari mabosi hao wameibuka…

Read More

KRFA yafunguka sababu kumdhamini Karia TFF

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace Karia kuendelea na kipindi kingine cha uongozi. Akizungumza leo, Juni 20,2025 mjini Moshi, Mwenyekiti wa KRFA, Isaac Munis maarufu kwa jina la ‘Gaga’ amesema wamemdhamini Karia kwa kuzingatia kazi  aliyoifanya…

Read More

Kilimanjaro yafunguka sababu kumdhamini Karia TFF

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace Karia kuendelea na kipindi kingine cha uongozi. Akizungumza leo, Juni 20,2025 mjini Moshi, Mwenyekiti wa KRFA, Isaac Munis maarufu kwa jina la ‘Gaga’ amesema wamemdhamini Karia kwa kuzingatia kazi  aliyoifanya…

Read More

Uchaguzi TFF: Msigwa kilio kilekile

Mgombea nafasi ya ujumbe Kanda ya Tatu akiwakilisha Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe, Ally Msigwa amerudisha fomu huku akilia kama wagombea wengine wa nafasi mbalimbali kuwa amekosa udhamini. Msingwa ambaye ni mchezaji wa zamani wa Yanga, amesema licha ya kuanza kwa wakati kutafuta uidhinishwaji kwa wajumbe wa mkutano mkuu, lakini amekosa. Mgombea huyo amesema ameamua…

Read More