Fountain, Namungo Ligi Kuu ya NBC, mechi ya mipango

WAKATI leo Alhamisi Fountain Gate na Namungo zikiwa viwanja tofauti kusaka pointi Ligi Kuu Bara, unaweza kusema  hali ni tete kwa timu hizo ndani ya raundi tano zilizopita sawa na dakika 450 zimeshindwa kuibuka na ushindi. Katika mechi tano zilizopita, Yanga ndiyo iliyokusanya pointi nyingi zaidi ambazo ni 15 (kabla ya mechi ya jana) dhidi…

Read More

Mtibwa hali mbaya, yapigwa tena Chamazi

NINI kimeikuta Mtibwa Sugar? Ni swali unaloweza kujiuliza kufuatia timu hiyo kupoteza mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Yusuf Chipo. Chipo ambaye alitambulishwa Novemba 17, 2025 kuifundisha Mtibwa Sugar baada ya aliyeipandisha daraja timu hiyo, Awadh Juma kukosa vigezo vya kuwa kocha mkuu, alikuwa na mwendo mzuri mwanzoni katika mechi nane…

Read More

Yanga yatuma salamu Msimbazi ikiichapa JKT Tanzania 5-0

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wameendelea kuthibitisha ubora wao katika ligi hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa nane mfululizo kufuatia kuwachapa Maafande wa JKT Tanzania mabao 5-0, mechi iliyopigwa leo Jumatano Februari 25, 2026 kwenye Uwanja wa KMC, Dar. Ushindi huo mnono unaifanya Yanga kama kutuma salamu kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo…

Read More

Julio ashtuka, aomba mechi za kirafiki

JAMHURI Kihwelo ‘Julio’ baada ya kuiongoza Mashujaa katika mechi mbili akiwa kocha mkuu akishinda zote ikiwamo dhidi ya Mtibwa Sugar Ligi Kuu na ile ya Kombe la Shirikisho mbele ya Nkim, ameshtuka kisha kuomba mechi za kirafiki, huku akitoa sababu. Kocha huyo aliyechukua mikoba ya Salum Mayanga hivi karibuni, ameliambia Mwanaspoti kuwa, ameichungulia ratiba ya…

Read More