KRFA yafunguka sababu kumdhamini Karia TFF

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace Karia kuendelea na kipindi kingine cha uongozi. Akizungumza leo, Juni 20,2025 mjini Moshi, Mwenyekiti wa KRFA, Isaac Munis maarufu kwa jina la ‘Gaga’ amesema wamemdhamini Karia kwa kuzingatia kazi  aliyoifanya…

Read More

Kilimanjaro yafunguka sababu kumdhamini Karia TFF

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace Karia kuendelea na kipindi kingine cha uongozi. Akizungumza leo, Juni 20,2025 mjini Moshi, Mwenyekiti wa KRFA, Isaac Munis maarufu kwa jina la ‘Gaga’ amesema wamemdhamini Karia kwa kuzingatia kazi  aliyoifanya…

Read More

Uchaguzi TFF: Msigwa kilio kilekile

Mgombea nafasi ya ujumbe Kanda ya Tatu akiwakilisha Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe, Ally Msigwa amerudisha fomu huku akilia kama wagombea wengine wa nafasi mbalimbali kuwa amekosa udhamini. Msingwa ambaye ni mchezaji wa zamani wa Yanga, amesema licha ya kuanza kwa wakati kutafuta uidhinishwaji kwa wajumbe wa mkutano mkuu, lakini amekosa. Mgombea huyo amesema ameamua…

Read More

Shija arudisha fomu, alia ‘endorsement’

Mgombea urais kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Shija Richard amesema licha ya kurudisha fomu, lakini kinachomliza ni changamoto ya kukosa uidhinishwaji (endorsement). Shija ambaye ni mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), amesema katika mchakato wa kuchukua na kurudisha fomu, amekumbana na changamoto ya kukosa uidhinishwaji kutoka kwa wajumbe wa mkutano mkuu….

Read More

Mayay arudisha fomu urais TFF, afunguka

Mgombea mwingine wa nafasi ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amerudisha fomu ya kugombea. Mayay amerudisha fomu hiyo mchana huu katika ofisi za makao makuu ya TFF akiambatana na rafiki yake, Dominic Salamba. Baada ya kurudisha, Mayay amesema amekamilisha hatua ya awali ya mchakato huo kwa kuchukua na kurudisha fomu. …

Read More

Shime: Uganda imetupa maswali magumu

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema ushindi dhidi ya Uganda jana wa mabao 2-0 umewapa maswali magumu ya kujiuliza kuelekea mechi ya kesho, Juni 21 dhidi ya Kenya. Twiga Stars kesho itacheza mchezo wa nne na wa mwisho kwenye mashindano ya Wanawake ya Cecafa yanayoendelea katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi,…

Read More

Karia, Dk Msolla warudisha fomu TFF

Mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unaendelea ambapo mpaka sasa wagombea wawili wa nafasi ya urais wamerudisha fomu. Taarifa kutoka ndani ya kamati ya uchaguzi ya shirikisho hilo zinaeleza kwamba rais anayetetea nafasi hiyo, Wallace Karia alirudisha fomu jana. Karia anatetea nafasi hiyo akiwa ameongoza vipindi viwili shirikisho hilo. …

Read More

Dar City wanatupia tu BDL

Dar City inaongoza  kwa kufunga pointi 756, katika Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Dar City imefunga pointi hizo, kutokana na michezo nane, ikiongoza pia katika msimamo wa ligi hiyo kwa pointi 16. Inayofuatia ni Savio  iliyofunga pointi 654, Stein Warriors 594, JKT 580, KIUT  538, Srelio 523, Kurasini Heat 497, ABC  493…

Read More

Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa TPLB

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti. Mwenyekiti wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ anakaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa Steven Mnguto. Kwa upande wa Mtendaji Mkuu, anayekaimu…

Read More