Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa TPLB

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti. Mwenyekiti wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ anakaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa Steven Mnguto. Kwa upande wa Mtendaji Mkuu, anayekaimu…

Read More

Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa kwa muda TPLB

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti. Mwenyekiti wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ anakaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa Steven Mnguto. Kwa upande wa Mtendaji Mkuu, anayekaimu…

Read More

Makocha wapewa akili Taifa Cup

Katibu mkuu wa  chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kigoma Anasi Kibonajoro ameishauri mikoa iwe  inatumia wachezaji wake katika mashindano ya Taifa Cup. Kibonajoro aliyasema hayo kutokana na kasumba iliyokuwepo ya  viongozi wa mkoa, kutegemea wachezaji kutoka Mkoa wa Dar es Salaam. Alisema hata kama ni wazawa wa mkoa fulani, kuwatumia wachezaji wa mkoa husika…

Read More

Minziro ashusha pumzi, JKT Tanzania kiroho safi

WAKATI maafande wa JKT Tanzania wakisema hawana wa kumlaumu kwa kipigo walichopewa na Pamba Jiji kwani kwani malengo kwa msimu huu yapo sawa, kocha Fred Felix ‘Minziro’ ameshusha pumzi ndefu baada ya kuisaidia timu hiyo kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku akitoa ushauri. Pamba Jiji imebaki Ligi Kuu baada ya juzi kupata ushindi…

Read More

Kipagwile: Dodoma Jiji hatuna presha

WINGA wa Dodoma Jiji, Idd Kipagwile amesema mechi ya mwisho kwa timu hiyo dhidi ya Yanga inayotarajiwa kupigwa Jumapili kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar haitakuwa na presha kwao kwa sababu tayari wamejihakikishia kubaki Ligi Kuu, japo haina maana watabweteka ili wapigwe. Kipagwile aliyetikisa nyavu mara saba na asisti nne msimu huu katika Ligi Kuu…

Read More

TFF, TAKUKURU waanze na kiongozi KenGold

HIVI karibuni wakati tunasikiliza kipindi cha michezo cha kituo fulani hivi cha redio, kiongozi mmoja wa KenGold ya Mbeya akatoa tuhuma nzito za rushwa kwa baadhi ya maofisa na wachezaji wake. Akasema kuna timu ya Ligi Kuu iliwahonga baadhi ya wachezaji wake ili wacheze chini ya kiwango na wapinzani wao wapate ushindi kirahisi katika mechi…

Read More

Makambo asepa zake kimyakimya | Mwanaspoti

KUNA taarifa zinaeleza mshambuliaji wa Tabora United, Heritier Makambo ametimka kambini, sababu ikitajwa ni kudai mshahara, hivyo akaona hakuja haja ya kuendelea kusalia katika timu hiyo. Makambo alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja unaoisha baada ya mechi ya mwisho kwa timu hiyo itakapocheza na Coastal Union keshokutwa Jumapili jijini Tanga….

Read More

Dabi ya Juni… Yanga 5 Simba 2

LICHA ya kwamba keshokutwa kuna mechi za kukamilishia raundi ya 30 ya Ligi Kuu Bara ambako vinara Yanga wataivaa Dodoma Jiji na Simba itapepetana na Kagera Sugar, akili za mashabiki wengi wa soka ziko katika pambano la Dabi ya Kariakoo la Juni 25. Hiyo ni kutokana na ukweli pambano hilo limeshikilia hatma ya ubingwa wa…

Read More

Yanga yasaka saini ya kiungo wa Gor Mahia

YANGA imesharejea jijini Dar es Salaam na ilikuwa ikijiandaa kwenda Zanzibar kwa ajili mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kabla ya kuweka kambi visiwani humo kusubiri Dabi ya Kariakoo ya Juni 25, huku mabosi wa klabu hiyo wakiendelea kufanya usajili wa kimyakimya kwa kikosi kijacho. Yanga inayoshikilia ubingwa wa Ligi Kuu kwa…

Read More

Ahoua, Ateba katika vita mpya

LIGI Kuu Bara imesaliwa na mechi tisa tu kabla ya kufungwa kwa msimu wa 2024-25, huku Simba na Yanga zikichuana kileleni kuwania ubingwa, lakini kuna vita nyingine mpya imeibuka inayohusisha wachezaji wa timu moja wenyewe kwa wenyewe. Yanga inaongoza msimamo kwa sasa ikiwa na pointi 76, moja zaidi na ilizonazo Simba yenye 75 kila moja…

Read More