Yanga yasaka saini ya kiungo wa Gor Mahia

YANGA imesharejea jijini Dar es Salaam na ilikuwa ikijiandaa kwenda Zanzibar kwa ajili mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kabla ya kuweka kambi visiwani humo kusubiri Dabi ya Kariakoo ya Juni 25, huku mabosi wa klabu hiyo wakiendelea kufanya usajili wa kimyakimya kwa kikosi kijacho. Yanga inayoshikilia ubingwa wa Ligi Kuu kwa…

Read More

Ahoua, Ateba katika vita mpya

LIGI Kuu Bara imesaliwa na mechi tisa tu kabla ya kufungwa kwa msimu wa 2024-25, huku Simba na Yanga zikichuana kileleni kuwania ubingwa, lakini kuna vita nyingine mpya imeibuka inayohusisha wachezaji wa timu moja wenyewe kwa wenyewe. Yanga inaongoza msimamo kwa sasa ikiwa na pointi 76, moja zaidi na ilizonazo Simba yenye 75 kila moja…

Read More

Sopu ameanza kujipata Azam FC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ ameanza kujipata ndani ya kikosi hicho baada ya kutokuwa na msimu mzuri, jambo linalompa matumaini kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akitarajia makubwa kutoka kwa nyota huyo. Kauli ya Taoussi inajiri baada ya nyota huyo kuchangia mabao mawili juzi katika ushindi wa timu hiyo wa 5-0, dhidi…

Read More

Ripoti ya jeraha la Dube yashtua

MASHABIKI wa soka kwa sasa wanahesabu siku kabla ya kushuhudia pambano la Dabi ya Kariakoo lililopangwa kupigwa Juni 25 baada ya kuahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15, kuna taarifa ambayo huenda isiwe nzuri kwa mashabiki wa Yanga. Timu hizo zitavaana Juni 25 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika pambano hilo la marudiano la…

Read More

Kocha Tabora United akubali yaishe

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzambia Simonda Kaunda amesema msimu huu kwao umeisha na hawana cha kupoteza tena, baada ya kikosi hicho juzi kukumbana na kichapo cha fedheha cha mabao 5-0, dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi saba mfululizo za Ligi Kuu Bara…

Read More

29 wa kigeni wakoleza utamu BDL

USHINDANI na uwepo wa nyota wa kigeni katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), umeifanya izidi kuimarika na kuwa moja ya zinazoongoza kwa ubora Ukanda wa Afrika Mashariki. Idadi ya nyota hao imekuwa ikiongezeka na wamesajiliwa katika timu mbalimbali zinazoshiriki ligi hiyo na waliopo hadi sasa ni 29. Wachezaji hao wanatoka katika…

Read More

Simba wacheze tu Kariakoo Dabi

HAPA kijiweni tuna imani Simba itacheza mechi yake ya marudiano ya Ligi Kuu Bara msimu huu dhidi ya mtani wake, Yanga ambayo imezoeleka kwa jina la Kariakoo Dabi. Nimeona kundi fulani la mashabiki wanaojulikana ni wa Simba wanasema hawako tayari kucheza mechi hiyo ambayo imepangwa kuchezwa Juni 25 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Nadhani wanatania…

Read More

Mkali wa Black Panther kuja kufundisha kuogelea

KOCHA maarufu wa mchezo wa kuogelea duniani, Atiba Hasim-Nii Wade kutoka Marekani anatarajiwa kutua nchini ili kuendesha mafunzo ya mchezo huo kuanzia Juni 27 hadi Julai Mosi. Wade ambaye pia mwigizaji wa filamu za Hollywood ikiwamo ya Black Panther-Wakanda Forever iliyotoka mwaka 2022 ataendesha mafunzo hayo ya kuogelea nchini akishirikiana na Champion Rise Sports Promoter….

Read More

Wagombea waanza kulia uchaguzi TFF

SAA 24 kabla ya kufungwa kwa zoezi la kuchukua na kurudia fomu za Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baadhi ya wagombea waliojitosa katika kinyang’anyiro hicho wameanza kulia kwa kutoridhishwa taratibu zilizowekwa za uidhinishaji kupitia wajumbe ili kuruhusu urudishaji fomu. Kilio hicho kimetolewa na mgombea wa urais, Injinia Mustapha Himba akisema mara baada…

Read More

Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome

YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na Dodoma Jiji, Jumapili, lakini kuna kitu kimetamkwa na kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi ambacho ni kama salamu za mapema kwa wapinzani wanaotarajiwa kukutana…

Read More