Beki wa Simba awindwa Mashujaa

UONGOZI wa maafande wa Mashujaa uko katika harakati za kukisuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao, ambapo tayari mabosi wa timu hiyo wameanza harakati za kumuwinda beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi anayemaliza mkataba wake. Kazi aliyejiunga na timu hiyo Julai 20, 2023 akitokea Geita Gold, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza mbele ya…

Read More

Mzize ana akili ya kizungu kimtindo

WACHEZAJI wa kizungu huwa wanazipa heshima na kuzithamini sana timu ambazo zimewapa fursa ya kujitangaza na kuingia katika daraja la juu kiushindani. Sisemi kama ni wote ila wengi wao wanaziona timu ambazo zimewapa fursa tangu wakiwa vijana wadogo kama sehemu ya maisha yao hivyo hujitahidi kuishi nazo vizuri ili wasiondoke au kumaliza maisha ya soka…

Read More

Kaizer yaingilia dili la Tau Yanga

MAMBO yanaendelea kuwa mambo katika viunga vya Jangwani wakati huu ambapo Yanga imeshaanza kufanya biashara ikifanikiwa kumuuza aliyekuwa kiungo wake, Stepahie Aziz KI kwenda Wydad Casablanca ya Morocco ambako chama lake jipya linashiriki pia fainali za Kombe la Dunia la Klabu. Yanga ilifanya biashara na Wydad hivi karibuni, lakini ikiwa haijapoa kwani inadaiwa kwamba iko…

Read More

Aziz KI achekelea dabi, ataja bingwa Bara

MWAMBA wa Burkina Faso, Stephanie Aziz KI tayari ameshaanza kukipiga katika chama lake jipya la Wydad Casablanca alikotua hivi karibuni akitokea Yanga, lakini huku nyuma kaacha kumbukumbu kibao Jangwani anazotembea nazo. Nyota huyo aliyekuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita alipotupia mabao 21, ameondoka nchini akiwa na kumbukumbu nzito kwa mashabiki wa timu…

Read More

Vita ya ubingwa Bara… Simba, Yanga zakabana koo

MWENDO wa weka niweke ulikuwa katika mechi za raundi ya 29 za Ligi Kuu Bara zilizochezwa Jumatano hii ambapo kulikuwa na vita kubwa ya kujitengenezea mazingira mazuri ya kubeba ubingwa na kuepuka kucheza mechi za mtoano (play offs) ya kutoshuka daraja. Hiyo ni baada ya KenGold na Kagera Sugar kushuka daraja moja kwa moja na…

Read More

Mayay, Karia wajitosa Urais TFF

NYOTA wa zamani wa Yanga, Ally Mayay amethibitisha kuingia kwenye mbio za kugombea urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku mbili baada ya kuchukua fomu ikielezwa ni mmoja wa wagombea wanne waliojitokeza hadi sasa. Uamuzi wa Mayay unakuja siku moja tangu TFF kutangaza Juni 16 kuanza mchakato wa kuchukua fomu…

Read More

NMB yawaalika wakandarasi kukopa mitaji kwa utekelezaji wa tenda serikalini

Na Pamela Mollel Arusha. Benki ya NMB imefungua milango kwa wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali nchini kupata mikopo ya mitaji na vifaa muhimu, yakiwemo mitambo, ili kuweza kutekeleza kwa ufanisi tenda wanazoshinda kupitia mfumo wa manunuzi wa serikali, NeST. Akizungumza katika Kongamano la Tisa la Ununuzi wa Umma jijini Arusha, Meneja Mwandamizi wa Fedha za Biashara…

Read More

Kipa wa JKT Tanzania aitaja penalti ya Simba

KIPA wa JKT Tanzania,  Yakubu Suleiman amesema tangu msimu uanze mechi iliyosalia katika kumbukumbu zake ni dhidi ya Simba, iliyopigwa Uwanja wa KMC Complex, Desemba 24, 2024. Aliitaja sababu ya kutoisahau  mechi hiyo ambayo ni kufungwa dakika za nyongeza bao la penalti na Jean Ahoua wakati dakika 90 za mchezo akiwa ameokoa hatari nyingi akiamini…

Read More

Ngoma tatu nzito za Mzize

MSIMU wa Ligi Kuu Bara uko ukingoni, huku mashabiki wa soka wakisikilizia kujua utamalizikaje? Je ni ubingwa utatua mitaa ya Jangwani au Msimbazi? Zipi ni timu ambazo zitacheza mtoano kuwania kucheza na ile ya Championshipi ambayo ni Stand United? Sikia, wababe Simba na Yanga wako mzigoni leo katika viwanja viwili tofauti wakiwania ubingwa wa ligi…

Read More

Dili la Camara mikononi mwa Diarra

KUNA lile bato la Djigui Diara, kipa mwenye rekodi zake bora katika Ligi Kuu Bara kwa misimu minne na yule wa Simba, Moussa Camara aliyetua Msimbazi msimu huu ambao wanawania ubabe wa ‘cleen sheet’ mwisho wa msimu. Lakini, nyuma ya hilo makipa hao pia wana mengi, ingawa kwa Camara huenda akawa na jipya ambalo kwa…

Read More