LIGI KUU: Kuna vita mbili Mbeya

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumatano na timu zote 16 zitakuwa kwenye viwanja nane tofauti kusaka hatma ya kutamatisha msimu huu huku kukiwa na mechi moja yenye vita mbili tofauti ikizihusisha Tanzania Prisons dhidi ya Yanga. Kwenye mechi hizo nane ambazo zote zitachezwa kwa muda mmoja kuanzia saa 10:00 jioni, kila timu itakuwa na hesabu…

Read More

Fujo zaiponza KVZ, yalimwa faini Sh3 milioni

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF), limeipiga faini ya Sh3 milioni, KVZ baada ya kubainika mashabiki wake kufanya vurugu katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup) dhidi ya Uhamiaji. Mechi hiyo iliyochezwa Juni 11, 2025 saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Mao A, kisiwani Unguja, KVZ ilitoka na ushindi wa mabao 2-1…

Read More

Tanzania yaendeleza vichapo CECAFA | Mwanaspoti

TWIGA Stars ambayo ni timu taifa ya Tanzania upande wa soka la wanawake, imeendelea kutoa vichapo kwenye michuano ya CECAFA Senior Women Championship baada ya kuitandika Burundi mabao 6-0. Mechi hiyo iliyopigwa jioni ya leo Juni 17z, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, ilikuwa ya pili kwa Twiga Stars kwenye mashindano hayo…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kufanyiwa maboresho

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Tabia Maulid Mwita, amesema wizara hiyo inashirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kuiboresha Ligi Kuu ya ZPL kwa lengo la kupata wadhamini wengi na wa uhakika. Amesema, ili kupata udhamini wa uhakika na kukua kwa klabu za Zanzibar, wanahitaji kuwa na Ligi Kuu bora…

Read More

Kifimbo cha Mfalme kutua nchini siku nne

KIFIMBO cha Mfalme kuashiria kuanza kwa msimu mpya wa michezo ya Jumuiya ya Madola, kitakimbizwa hapa nchini kwa siku nne kuanzia Agosti 2 hadi 6, 2025. Mbali na kukimbizwa, pia kifimbo hicho ambacho zamani kilifahamika kwa jina la kifimbo cha Malkia, kitachorwa vivutio vya Tanzania na kutangazwa kwenye michezo ijayo ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland….

Read More

Buswita haoni pa kutokea Ligi Kuu

KIUNGO wa Namungo FC, Pius Buswita amesema katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizobaki, haoni kama anaweza kuvunja rekodi yake ya mabao saba aliyofunga msimu uliyopita. Hadi sasa Buswita amefunga mabao matatu huku Namungo ikibakiwa na michezo miwili itakayocheza nyumbani dhidi ya Kagera Sugar (Juni 18, 2025) na KenGold (Juni 22, 2025) kwenye Uwanja…

Read More

Miloud agusia dabi, wakiikabili Prisons

WAKATI Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Amani Josiah akisema kwa muda waliofanya mazoezi vijana wake wameonyesha ari na morali kubwa hivyo kesho matarajio ni kuendeleza matokeo mazuri, yule wa Yanga, Miloud Hamdi amesema wako tayari na fiti kwa ajili ya mechi hiyo, lakini akigusia kidogo kuhusu Dabi ya Kariakoo. Tanzania Prisons inatarajiwa kuwa wenyeji wa…

Read More

Kiungo Prisons ataja sherehe kuikabili Yanga

Kiungo wa Tanzania Prisons, Kelvin Sabato amesema mchezo dhidi ya Yanga unaopigwa kesho ni kama sikukuu kwao, akieleza kuwa mechi hiyo siyo ya kutumia nguvu nyingi, bali akili pekee. Wakati Sabato akitoa kauli hiyo, kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema wako tayari kuchukua pointi tatu ambazo zitaendelea kuwaweka katika msitari wa kutetea ubingwa huku…

Read More