
Chama Aandaliwa Kuikabili Tanzania Prisons – Global Publishers
Last updated Jun 16, 2025 Clatous Chama kiungo mshambuliaji wa Yanga SC anaandaliwa na benchi la ufundi kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wao Tanzania Prisons. Yanga SC iliyo nafasi ya kwanza kwenye msimamo na pointi 73 inatarajiwa kukutana na Tanzania Prisons iliyo nafasi ya 13 na pointi 30 Juni 18 Uwanja…