Neema aipaisha Tanzania Kwibuka T20 Rwanda

Neema Pius alishirikiana vyema na Fatuma Kibasu kuifanya Tanzania kuibuka kinara wa  mikimbio katika michuano ya Kumbukumbu ya Kwibuka iliyomalizika wikiendi iliyopita, jijini Kigali, Rwanda. Neema nyota mpya ya kriketi kwa timu ya wanawake ya Tanzania alitangazwa ndiye mtengezaji bora wa mikimbio baada ya kupiga jumla 218 katika mechi nane ilizocheza Tanzania na kumfanya amalize…

Read More

Clara sasa kufuatiliwa kwa teknolojia

NYOTA wa timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’, Clara Luvanga na chama lake la Al Nassr kuanzia msimu ujao wataanza kutumia teknolojia mbalimbali kwenye michezo, kwa mujibu Shirikisho la Soka la Saudi Arabia (SAFF). Shirikisho hilo limepanga kuzikabidhi timu zote za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza fedha kwa ajili ya vifaa mbalimbali vya…

Read More

Kocha Rwanda atamani kibarua cha Taoussi Azam

MAFANIKIO ya Simba na Yanga na Ligi Kuu Bara kwa ujumla katika ngazi ya kimataifa, yamempa wivu kocha mwenye uzoefu kutoka Rwanda, Innocent Seninga, akisema anatamani kuja kufanya kazi katika ligi hiyo. Seninga amesema amekuwa akiifuatilia Ligi Kuu Bara ambavyo inapanda katika viwango vya soka vya Afrika ikishika nafasi ya 5 kwa mujibu wa CAF…

Read More

Salum Kihimbwa aingia anga za Mashujaa

WAKATI uongozi wa Fountain Gate, ukimsimamisha kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Salum Kihimbwa kwa utovu wa nidhamu hadi pale itakapotoa taarifa nyingine, nyota huyo kwa sasa anawindwa na maafande wa Mashujaa kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Nyota huyo amesimamishwa kwa muda usiojulikana baada ya kumpiga mwamuzi katika mechi ya kirafiki kati…

Read More

Miloud Hamdi: Sasa Simba waje tu

YANGA kazi imerudi, kwani kama unakumbuka kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi alitamka hana ratiba na mchezo wa dabi dhidi ya Simba, lakini sasa amefungua faili la mechi hiyo, akisema ameshajulishwa juu ya uwepo wa mchezo na yupo tayari kuvaana na watani wa jadi hao hiyo Juni 25. Awali Yanga iliondoa ratiba ya maandalizi ya…

Read More

Simba kuja na sapraizi juni 25

HAKUNA ubishi huko mtaani na mtandaoni mashabiki na wapenzi wa Simba bado hawana furaha  kutokana na kitendo cha Dabi ya Kariakoo kuahirishwa kutoka jana Jumapili hadi Juni 25, lakini kuna kitu kama kitafanya na timu hiyo badi itawasapraizi wengi katika ishu ya ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Awali Wekundu hao walikuwa na mzuka mwingi wa…

Read More

NeST yatajwa kuleta matunda, Serikali yatoa maagizo

Arusha. Matumizi ya mfumo mpya wa kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST), yametajwa kuongeza uwazi, uwajibikaji na kuleta thamani ya fedha katika manunuzi pamoja na kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa. Mafanikio mengine yaliyochangiwa na mfumo huo yanatajwa kuwa ni pamoja na uboreshaji wa mazingira na kupungua kwa gharama za kufanya manunuzi kwa wazabuni na Serikali….

Read More

Straika Mtanzania apitia haya Zambia

ALIYEWAHI kuwa Ofisa Habari wa Mlandizi Queens, Sajda Sadick ambaye kwa sasa anakipiga Trident Queens ya Zambia amesema licha ya changamoto alizopitia nchini humo za kunyimwa pasi bado alisimama imara. Trident Queens alisaini mkataba wa mwaka mmoja akitokea Tanzania ambako alikuwa anahudumu nafasi ya msemaji wa Mlandizi iliyoshuka daraja. Akizungumza na Mwanaspoti, Sajda alisema ilifikia…

Read More

Mwakipaki: Kikapu pesa ipo, ishu kiwango tu

KATIBU wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), Mpoki Mwakipaki amesema msisimko na ubora wa ligi ya msimu huu ni mfumo wa udhamini unaowagusa wachezaji moja kwa moja, tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma, na sasa ni ishu ya kiwango tu kwa kila mchezaji. Mwakipaki alisema timu inayoshinda, mchezaji na…

Read More

Mudrick mambo yamnyookea Uturuki | Mwanaspoti

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema licha ya kuchelewa kujiunga na timu msimu huu, lakini waliipambania kutoka nafasi ya tisa hadi nne bora. Nyota huyo alicheza ligi ya Uturuki baada ya timu hiyo kumwona katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika nchini humo na kufanya vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti, Mohamed…

Read More