Mtibwa Sugar yampigia hesabu Baleke

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu baada ya kushuka msimu uliopita, mabosi wa timu hiyo wako katika mchakato wa kuboresha kikosi hicho, huku wakiwa wanampigia hesabu aliyekuwa mshambuliaji wa Simba na Yanga, Mkongomani Jean Baleke. Taarifa kutoka katika kambi ya kikosi hicho, zimeliambia Mwanaspoti, Baleke ambaye kwa sasa hana timu tangu alipoachana na Yanga…

Read More

Kealey anawindwa na timu England

QPR FC inayoshiriki Ligi ya Champioship ya England inadaiwa imeanza mazungumzo na beki wa kulia mwenye asili ya Tanzania, Kealey Adamson anayekipiga Macarthur FC ya Australia. Tetesi zinaeleza viongozi wa QPR wanafanya maboresho kwenye kikosi hicho kilichomaliza nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi na imefungua mazungumzo na nyota huyo mwenye uraia wa nchini mbili…

Read More

Wanne Twiga Stars watolewa CECAFA

NYOTA wanne wa kikosi cha timu ya taifa ‘Twiga Stars’ hawatakuwa sehemu ya wachezaji watakaocheza mashindano ya CECAFA Senior Women’s Championship yanayofanyika Uwanja wa Azam Complex kutokana na ratiba za timu zao. Nyota hao muhimu ni Julietha Singano na Enekia Kasonga wanaokipiga FC Juarez, Noela Luhala wa Asa Tel Aviv na Aisha Masaka ambaye aliumia…

Read More

Tanga, Moro zang’ara UMITASHUMTA | Mwanaspoti

TIMU za Morogoro na Tanga zimeanza kwa moto michuano ya Michezo ya Shule za Msingi nchini (UMITASHUMTA) inayoendelea mkoani Iringa kwa kuzisambaratisha Dodoma na Dar es Salaam mtawalia. Moro iliishinda Dodoma kwa mikimbio 54, huku Tanga ikishinda  dhiddi ya Dar es Salaam.. Mchezo wa Kriketi unaingia kwa mara ya kwanza katika michezo ya UMITASHUMTA baada…

Read More

Kinda la Yanga aondoka na mawili Uganda

KINDA la Yanga U-20 ambaye anaichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo, Isaack Mtengwa amesema kumaliza msimu salama bila majeraha ni jambo jema kwake, akitaja mambo aliyojifunza kwenye ligi hiyo. Huu ni msimu wa kwanza kwa nyota huyo kucheza Ligi Kuu Uganda kwani hapo awali alizichezea timu za vijana za Simba na Yanga na baada…

Read More

Abdallah Shaibu ‘Ninja’ afunguka dili la Congo

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefichua juu ya dili la kujiunga na FC Tanganyika inayoshiriki Ligi Kuu ya DRC Congo. Mwanzoni mwa mwaka huu Ninja alithibitisha yupo kwenye mazungumzo na klabu hiyo ikiwa ni wiki chache tangu aachane na FC Lupopo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu uliopita akitokea Lubumbashi Sports ya nchini…

Read More

Abdallah Shaibu ‘Ninja’ aeleza dili la Congo

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefichua juu ya dili la kujiunga na FC Tanganyika inayoshiriki Ligi Kuu ya DRC Congo. Mwanzoni mwa mwaka huu Ninja alithibitisha yupo kwenye mazungumzo na klabu hiyo ikiwa ni wiki chache tangu aachane na FC Lupopo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu uliopita akitokea Lubumbashi Sports ya nchini…

Read More

Noble asubiri mbili Fountain Gate

HATIMA ya kipa namba moja wa timu ya Fountain Gate, Mnigeria John Noble itajulikana baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika iwapo atasalia au ataondoka ndani ya kikosi hicho. Fountain Gate inatarajia kumalizia mechi mbili dhidi ya Azam FC na Coastal Union, kisha atamalizana uongozi wa kikosi hicho. Noble aliondolewa kikosini Aprili 21, mwaka…

Read More

Kocha Mkenya kwenye nyayo za Simba

UONGOZI wa Simba upo kwenye mchakato wa kumalizana na Kocha wa timu ya taifa ya Kenya ya wanawake Harambee Starlets, Beldine Odemba kwa ajili ya kuinoa Simba Queens msimu ujao. Uamuzi wa Simba umefikiwa muda mfupi baada ya kuelezwa kuwa upo kwenye mpango wa kuachana na Kocha Mkuu, Yussif Basigi kutokana na kushindwa kufikia malengo….

Read More

Yanga, Dodoma Jiji yanukia Zenji

MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Dodoma Jiji iliyopangwa Juni 22 huenda ikachezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar endapo mambo yataenda kama yalivyopangwa awali. Hatua ya mechi hiyo kupelekwa Zanzibar inaelezwa ni kutokana na Uwanja wa KMC Complex ambao inautumia Yanga kwa mechi za nyumbani kutumiwa na watani…

Read More