Gomez wamoto akitupia, asisti tatu Wydad

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania Seleman Mwalimu ‘Gomez’ ameanza kufanya vizuri baada ya kuhusika kwenye mabao manne kati ya saba ya timu hiyo kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya CS Saint-Laurent kutoka Montreal, Canada. Katika mechi hiyo iliyopigwa juzi nchini Marekani, Gomez alifunga bao moja na kuasisti mara tatu wakati kikosi hicho kiliposhinda…

Read More

Azam FC, Ibenge kuna kitu

Unaambiwa kwamba mambo ni moto! Kila timu inasuka kikosi chake kimyakimya, lakini kuna mambo huenda yakashangaza msimu ujao wa Ligi Kuu Bara nje na usajili wa mastaa vikosini. Na kama huamini, mazungumzo yanayoendelea kwa sasa ndani na nje ya timu za Bara yanatarajiwa kutikisa mara tu dirisha la usajili wa wachezaji litakapofunguliwa, kwani kuna sapraizi…

Read More

Bosi ligi ya Rwanda avutiwa na uwekezaji Bara

Mwenyekiti wa Ligi Kuu Rwanda ambaye pia ni mmiliki wa timu ya Gorilla ambayo inashiriki ligi hiyo, Mudaheranwa Hadji Yussuf amevutiwa na uwekezaji ambao umefanywa katika soka la Tanzania ambao unazifanya timu kufanya vizuri kimataifa. Ligi Kuu Bara ni miongoni mwa ligi tano bora Afrika huku uwekezaji ambao umefanyika kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)…

Read More

Fadlu atoa siku mbili Simba

SIKU moja baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutangaza kusogezwa mbele kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, kocha wa Simba, Fadlu Davids ametoa mapumziko ya siku mbili kwa wachezaji wa timu hiyo. TPLB imeahirisha mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara duru la pili kutoka Jumapili Juni 15 hadi…

Read More

Kiungo KenGold katika rada za Coastal Union

KIUNGO Mkongomani wa KenGold, Kiala Lassa anadaiwa kutimkia Coastal Union ambako amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Mchezaji huyo amefunga bao moja kati ya 22 ambayo KenGold imeshinda, huku ikishika nafasi ya mwisho katika msimamo wa ligi ikiwa imecheza mechi 28 ikishinda tatu, sare saba na kupoteza 18. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa…

Read More

MAGIC JOHNSON: Kinara asisti fainali NBA

INDIANA, MAREKANI: KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu kuna usemi maarufu unaosema “mpira unapita haraka kuliko mchezaji.” Hii inaashiria umuhimu wa pasi sahihi katika kuongoza timu kupata ushindi. Katika NBA, hasa kwenye hatua ya fainali kila mpira unaopitishwa kwa usahihi na kusababisha pointi ni mchango mkubwa unaoweza kuamua hatima ya taji. Wakati wengi huangalia wachezaji…

Read More

Bosi TFF atia neno ishu ya Mnguto

TAARIFA iliyoshtua juzi haikuwa kupangwa upya kwa tarehe ya kiporo cha Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, bali ile iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yenye mistari minne tu, lakini ikatingisha huku bosi wa zamani wa kamati ya sheria TFF akisema suala hilo limechelewa kuchukuliwa uamuzi. Taarifa hiyo ilikuwa kujiuzulu kwa Mwenyekiti…

Read More